KLABU ya Yanga imetangaza kumsajili mshambuliaji wa kimataifa wa Burundi, Fiston Abdul Razak kutoka ENPPI ya Misri, hilo likiwa ingizo jipya la tatu katika dirisha dogo baada ya Mrundi mwenzake, Said Ntibanzokiza na beki mzawa, Dickson Job.
Fiston mwenye umri wa miaka 27 ana uzoefu mkubwa kisoka na aliibukia akademi ya Lydia Ludic mwaka 2009 kabla ya kwenda Rayon Sports ya Rwanda, 2012, Diables Noirs 2013 ya Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo (DRC), Sofapaka ya Kenya 2014.
Mwaka 2017 alikwenda Mamelodi Sundowns, ambayo baadaye ilimtoa kwa mkopo Bloemfontein Celtic, zote za Afrika Kusini, ambako hakukaa sana akaenda Primiero de Agosto ya Angola 2017, Al-Zawraa ya Iraq mwaka 2018, JS Kabylie ya Algeria 2019 na ENPPI SC mwaka jana.
from BIN ZUBEIRY SPORTS - ONLINE https://ift.tt/38NRxdX
best mesothelioma law firms, mesothelioma attorneys, mesothelioma
lawyer, mesothelioma lawsuits, mesothelioma lawyers, mesothelioma
lawsuit, mesothelioma attorney, mesothelioma settlement, mesothelioma
lawsuit settlements, mesothelioma settlements, mesothelioma law firm,
lawyer mesothelioma, get a online mesothelioma law firm today,
mesothelioma claims, mesothelioma claim, malignant mesothelioma,
mesothelioma law, mesothelioma law firm california, mesothelioma
compensation, mesothelioma law firms, asbestos settlement, asbestos
claim, mesothelioma, asbestos lawsuit, asbestos lung cancer,
mesothelioma law suit, asbestos claims720, asbestos attorney,
mesothelioma lung cancer, mesothelioma causes, asbestos lawyer390,
mesothelioma cancer, asbestos lawsuits, asbestos lawyers, causes of
mesothelioma, asbestos cancer, mesothelioma law suits, what is
mesothelioma, law offices, mesothelioma symptoms