TIMU ya Azam FC imefanikiwa kwenda Nusu Fainali ya Kombe la Muungano baada ya us Hindi wa mabao 2-0 dhidi ya KVZ FC usiku huu Uwanja wa New Amaan Complex, Zanzibar.
Mabao yote ya Azam FC yamefungwa na mshambuliaji wa Kimataifa wa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo (DRC), Jean-Jacques Ngita Kamanga dakika ya 40 na 54.
Azam FC sasa itakutana na bingwa mtetezi, Yanga katika Nusu Fainali ya michuano hiyo Jumamosi kuanzia Saa 2:15 usiku hapo hapo Uwanja wa New Amaan Complex.
Hatua ya Robo Fainali ya michuano hiyo itakamilishwa kesho kwa mechi mbili, Singida Black Stars kumenyana na Mlandege FC kuanzia Saa 10:15 jioni na Simba SC dhidi ya Mafunzo FC kuanzia Saa 2:15 usiku hapo hapo Uwanja Amaan.
Ikumbukwe Yanga ililuwa ya kwanza kutinga Nusu Fainali kwa kuitoa Muembe Makumbi City kwa kuichapa 4-0 jana hapo hapo New Amaan Complex.
Nusu Fainali ya pili itafuatia Aprili 26 na Fainali ya Muungano Cup 2026 itapigwa Aprili 29 mechi zote zikichezwa Uwanja wa New Alana Complex, Zanzibar.
from BIN ZUBEIRY SPORTS — ONLINE https://ift.tt/MgX1WcK
best mesothelioma law firms, mesothelioma attorneys, mesothelioma
lawyer, mesothelioma lawsuits, mesothelioma lawyers, mesothelioma
lawsuit, mesothelioma attorney, mesothelioma settlement, mesothelioma
lawsuit settlements, mesothelioma settlements, mesothelioma law firm,
lawyer mesothelioma, get a online mesothelioma law firm today,
mesothelioma claims, mesothelioma claim, malignant mesothelioma,
mesothelioma law, mesothelioma law firm california, mesothelioma
compensation, mesothelioma law firms, asbestos settlement, asbestos
claim, mesothelioma, asbestos lawsuit, asbestos lung cancer,
mesothelioma law suit, asbestos claims720, asbestos attorney,
mesothelioma lung cancer, mesothelioma causes, asbestos lawyer390,
mesothelioma cancer, asbestos lawsuits, asbestos lawyers, causes of
mesothelioma, asbestos cancer, mesothelioma law suits, what is
mesothelioma, law offices, mesothelioma symptoms
Terimakasih anda telah membaca artikel tentang AZAM FC YAIFUATA YANGA SC NUSU FAINALI MUUNGANO CUP. Jika ingin menduplikasi artikel ini diharapkan anda untuk mencantumkan link https://viralsport.blogspot.com/2026/04/azam-fc-yaifuata-yanga-sc-nusu-fainali.html. Terimakasih atas perhatiannya.