
TIMU ya JKT Tanzania imeibuka na ushindi wa bao 1-0 dhidi ya KMC FC katika mchezo wa Ligi Kuu ya NBC Tanzania Bara usiku huu Uwanja wa Meja Jenerali Isamuhyo, Mbweni, Dar es Salaam.
Bao pekee la timu hiyo ya jeshi Kujenga Taifa limefungwa na mshambuliaji Valentino Mashaka Kusengama kwa mkwaju wa penalti dakika ya 13 ya mchezo huo.
Kwa ushindi huo, JKT Tanzania inafikisha pointi 32 na kurejea nafasi ya nne ikiizidi pointi tatu Pamba Jiji FC baada ya timu hizo zote kucheza mechi 20.
Hali inazidi kuwa mbaya kwa KMC FC baada ya kupoteza mchezo huo ikibaki na pointi zake tisa ikiendelea kushika mkia kwenye ligi ya timu 16 kufuatia kucheza mechi 20 pia.
Ikumbukwe mwisho wa msimu timu mbili zitashuka Daraja na mbili zitakazomaliza nafasi ya 14 na 13 zitamenyana baina yao kwa mechi mbili za nyumbani na ugenini na mshindi wa jumla atasalia Ligi Kuu.
Timu itakayofungwa itakwenda kumenyana na timu kutoka Ligi ya Championship katika mechi nyingine mbili za mchujo nyumbani na ugenini na mshindi wa jumla ndiye atacheza Ligi Kuu msimu ujao.
from BIN ZUBEIRY SPORTS — ONLINE https://ift.tt/OEPp8gG
best mesothelioma law firms, mesothelioma attorneys, mesothelioma
lawyer, mesothelioma lawsuits, mesothelioma lawyers, mesothelioma
lawsuit, mesothelioma attorney, mesothelioma settlement, mesothelioma
lawsuit settlements, mesothelioma settlements, mesothelioma law firm,
lawyer mesothelioma, get a online mesothelioma law firm today,
mesothelioma claims, mesothelioma claim, malignant mesothelioma,
mesothelioma law, mesothelioma law firm california, mesothelioma
compensation, mesothelioma law firms, asbestos settlement, asbestos
claim, mesothelioma, asbestos lawsuit, asbestos lung cancer,
mesothelioma law suit, asbestos claims720, asbestos attorney,
mesothelioma lung cancer, mesothelioma causes, asbestos lawyer390,
mesothelioma cancer, asbestos lawsuits, asbestos lawyers, causes of
mesothelioma, asbestos cancer, mesothelioma law suits, what is
mesothelioma, law offices, mesothelioma symptoms
Terimakasih anda telah membaca artikel tentang JKT TANZANIA YAICHAPA KMC 1-0 UWANJA WA MEJA ISAMUHYO. Jika ingin menduplikasi artikel ini diharapkan anda untuk mencantumkan link https://viralsport.blogspot.com/2026/04/jkt-tanzania-yaichapa-kmc-1-0-uwanja-wa.html. Terimakasih atas perhatiannya.