TIMU ya Azam FC imeibuka na ushindi wa mabao 2-1 dhidi ya wenyeji, Singida Black Stars katika mchezo wa Ligi Kuu ya NBC Tanzania Bara jioni ya leo Uwanja wa Airtel Mwigulu Complex, Singida.
Mabao ya Azam FC yamefungwa na beki Lusajo Elukaga Mwaikenda dakika ya 49 na kiungo, Feisal Salum Abdallah dakika ya 64, wakati la Singida Black Stars limefungwa na winga, Ayoub Reuben Lyanga aliyeiadhibu timu yake ya zamani dakika ya 70.
Kwa ushindi huo, Azam FC wanafikisha pointi 32 na kurejea nafasi ya pili ikizidiwa pointi sita na mabingwa watetezi, Yanga SC baada ya wote kucheza me hi 16, wakati Singida Black Stars inabaki na pointi zake 25 za me hi 16 pia nafasi ya sita.
from BIN ZUBEIRY SPORTS — ONLINE https://ift.tt/cxaW7LI
best mesothelioma law firms, mesothelioma attorneys, mesothelioma
lawyer, mesothelioma lawsuits, mesothelioma lawyers, mesothelioma
lawsuit, mesothelioma attorney, mesothelioma settlement, mesothelioma
lawsuit settlements, mesothelioma settlements, mesothelioma law firm,
lawyer mesothelioma, get a online mesothelioma law firm today,
mesothelioma claims, mesothelioma claim, malignant mesothelioma,
mesothelioma law, mesothelioma law firm california, mesothelioma
compensation, mesothelioma law firms, asbestos settlement, asbestos
claim, mesothelioma, asbestos lawsuit, asbestos lung cancer,
mesothelioma law suit, asbestos claims720, asbestos attorney,
mesothelioma lung cancer, mesothelioma causes, asbestos lawyer390,
mesothelioma cancer, asbestos lawsuits, asbestos lawyers, causes of
mesothelioma, asbestos cancer, mesothelioma law suits, what is
mesothelioma, law offices, mesothelioma symptoms
Terimakasih anda telah membaca artikel tentang AZAM FC YAILAZA SINGIDA BLACK STARS 2-1. Jika ingin menduplikasi artikel ini diharapkan anda untuk mencantumkan link https://viralsport.blogspot.com/2026/04/azam-fc-yailaza-singida-black-stars-2-1.html. Terimakasih atas perhatiannya.