Na Mwandishi Wetu, DAR ES SALAAM
SIMBA SC imelalamika kwamba imefungwa mechi mbili mfululizo za Ligi Kuu ya Vodacom Tanzania Bara kutokana na mbinu chafu zinazofanywa na wapinzani wao nje ya Uwanja.
Mwenyekiti wa Kamati ya Usajili ya Simba SC, Zacharia Hans Poppe alisema jana kwamba baada ya mwanzo mzuri katika Ligi Kuu, ikiwemo kuwazuia mabingwa watetezi, Yanga kwa sare ya 1-1 wapinzani wao wakaanza mchezo mchafu.
“Hebu jiulizeni, Simba ni timu nzuri tangu mwanzo inacheza vizuri na kushinda, Tumecheza mechi na hao mabingwa, tukiwa pungufu baada ya Mkude (Jonas) kutolewa kwa kadi nyekundu, lakini tukasawazisha bao na refa akakataa bao letu lingine. Iweje ghafla tufungwe mechi mbili mfululizo?”alihoji Hans Poppe.
Zacharia Hans Poppe amesema Simba inafungiwa nje ya Uwanja
Kapteni huyo wa zamani wa Jeshi la Wananchi (JWTZ) alisema kuna mbinu chafu zinazofanywa na wapinzani wao na hayo yamekuwa yakijirudia kwa miaka mitano sasa, jambo ambalo ni hatari kwa soka ya Tanzania.
“Tena huwa wanatuambia kabisa, mnapigwa. Na kweli tunapigwa. Kwa sababu wanakuwa wanajua wamekwishakamilisha mbinu zao chafu. Huu si mpira na hatuwezi kufika popote,”alilalamika Poppe.
Simba SC ilianza vyema Ligi Kuu na kuongoza kwa muda mrefu ikicheza mechi 13 bila kupoteza, ikishinda 11 na sare mbili.
Lakini ghafla kibao kikageuka kwenye raundi mbili za mwisho na timu hiyo ikapoteza mechi mbili mfululizo, ikifungwa 1-0 African Lyon Uwanja wa Uhuru, Dar es Salaam na 2-1 na Prisons Uwanja wa Sokoine Mbeya.
Kwa sababu hiyo, Simba SC ikamaliza mzunguko wa kwanza inaongoza kwa pointi mbili tu zaidi dhidi ya mabingwa watetezu, Yanga (35-33) kutoka tofauti ya pointi nane.
from BIN ZUBEIRY SPORTS- ONLINE http://ift.tt/2fJYYGr
best mesothelioma law firms, mesothelioma attorneys, mesothelioma
lawyer, mesothelioma lawsuits, mesothelioma lawyers, mesothelioma
lawsuit, mesothelioma attorney, mesothelioma settlement, mesothelioma
lawsuit settlements, mesothelioma settlements, mesothelioma law firm,
lawyer mesothelioma, get a online mesothelioma law firm today,
mesothelioma claims, mesothelioma claim, malignant mesothelioma,
mesothelioma law, mesothelioma law firm california, mesothelioma
compensation, mesothelioma law firms, asbestos settlement, asbestos
claim, mesothelioma, asbestos lawsuit, asbestos lung cancer,
mesothelioma law suit, asbestos claims720, asbestos attorney,
mesothelioma lung cancer, mesothelioma causes, asbestos lawyer390,
mesothelioma cancer, asbestos lawsuits, asbestos lawyers, causes of
mesothelioma, asbestos cancer, mesothelioma law suits, what is
mesothelioma, law offices, mesothelioma symptoms
Terimakasih anda telah membaca artikel tentang HANS POPPE: SIMBA INAFUNGIWA NJE YA UWANJA. Jika ingin menduplikasi artikel ini diharapkan anda untuk mencantumkan link https://viralsport.blogspot.com/2016/11/hans-poppe-simba-inafungiwa-nje-ya.html. Terimakasih atas perhatiannya.