Na David Nyembe, MBEYA
KOCHA Mmalawi wa Mbeya City, Kinnah Phiri amesema kwamba ataifunga Mtibwa kesho ili kuthibitisha hakubahatisha kuifunga Yanga Jumatano.
Baada ya ushindi wa 2-1 Jumatano nyumbani, Mbeya City watashuka tena kesho Uwanja wa Manungu, Turiani mjini Morogoro kumenyana na wenyeji, Mtibwa Sugar kukamilisha mechi zao za mzunguko wa kwanza.
Na akizungumza na BIN ZUBEIRY SPORTS - ONLINE jana, kocha Phiri alisema kwamba ushindi huo aliutarajia baada ya maandalizi mazuri, hivyo hakubahatisha.
“Wachezaji wengi wa Mbeya City ni wapya hivyo walikuwa wanajaribu kushika mafundisho yangu taratibu na nina furaha wanajifunza kwa kasi na hadi kufika mzunguko wa pili wa Ligi Kuu watakuwa wameiva kabisa. Nina furaha walicheza kwa kufuata maelekezo yangu,”alisema Phiri.
Kocha Kinnah Phiri amesema kwamba ataifunga Mtibwa kesho ili kuthibitisha hakubahatisha kuifunga Yanga Jumatano
Mabao ya MCC Jumatano yalifungwa na Hassan Mwasapili dakika ya sita na Nahodha Kenny Ally dakika ya 36, wakati la Yanga lilifungwa na Mzimbabwe, Donald Ngoma dakika ya 45 na ushei.
Ushindi huo wa kwaza kwa Mbeya dhidi ya Yanga tangu wapande Ligi Kuu, unaifanya MCC ifikishe pointi 19 baada ya kucheza mechi 14, wakati Yanga inabaki na pointi zake 27 za mechi 13.
from BIN ZUBEIRY SPORTS- ONLINE http://ift.tt/2eINFMQ
best mesothelioma law firms, mesothelioma attorneys, mesothelioma
lawyer, mesothelioma lawsuits, mesothelioma lawyers, mesothelioma
lawsuit, mesothelioma attorney, mesothelioma settlement, mesothelioma
lawsuit settlements, mesothelioma settlements, mesothelioma law firm,
lawyer mesothelioma, get a online mesothelioma law firm today,
mesothelioma claims, mesothelioma claim, malignant mesothelioma,
mesothelioma law, mesothelioma law firm california, mesothelioma
compensation, mesothelioma law firms, asbestos settlement, asbestos
claim, mesothelioma, asbestos lawsuit, asbestos lung cancer,
mesothelioma law suit, asbestos claims720, asbestos attorney,
mesothelioma lung cancer, mesothelioma causes, asbestos lawyer390,
mesothelioma cancer, asbestos lawsuits, asbestos lawyers, causes of
mesothelioma, asbestos cancer, mesothelioma law suits, what is
mesothelioma, law offices, mesothelioma symptoms