Na Mwandishi Wetu, DAR ES SALAAM
NAHODHA wa timu ya soka ya taifa ya Tanzania, Mbwana Ally Samatta anatarajiwa kuwasili Dar es Salaam Jumatano kujiunga na kikosi cha timu hiyo kwa ajili yaa mchezo wa kirafiki dhidi ya Zimbabwe mwishoni mwa wiki.
Akizungumza na BIN ZUBEIRY SPORTS - ONLINE jana, Samatta alisema kwamba anaondoka leo Genk, Ubelgiji kupitia Dubai ambako atalala siku mbili kabla ya kuunganisha safari ya kuja Dar es Salaam.
Samatta ameendelea kuonyesha umuhimu wa kuichezea Taifa Stars kwa kuitikia wito wa kocha Charles Boniface Mkwasa licha ya kuwa na majukumu mazito katika klabu yake.
Mbwana Samatta (kushoto) anatarajiwa kuwasili Dar es Salaam Jumatano kujiunga na Taifa Stars
Wachezaji 24 walioitwa na Mkwasa kwa ajili ya mchezo huo wa Novemba 13 mjini Harare, wataingia kambini Novemba 7, mwaka huu.
Nyota wa Stars walioitwa na Mkwasa ni makipa; Deogratius Munishi ‘Dida’ wa Yanga, Said Kipao wa JKT Ruvu na Aishi Manula wa Azam FC.
Mabeki; Erasto Nyoni, David Mwantika wa Azam FC, Michael Aidan wa JKT Ruvu, Mwinyi Hajji, Vincent Andrew wa Yanga, Mohammed Hussein ‘Tshabalala’ wa Simba SC na James Josephat wa Prisons.
Viungo wa kati ni Himid Mao wa Azam FC, Mohammed ‘Mo’ Ibrahim, Jonas Mkude na Muzamil Yassin wa Simba SC, wakati viungo wa pembeni ni Abdulrahman Mussa wa Ruvu Shooting, Shizza Kichuya, Jamal Mnyate wa Simba SC na Simon Msuva wa Yanga.
Washambuliaji ni Ibrahim Hajib wa Simba SC, John Bocco wa Azam FC, Elius Maguli wa Oman Club, Thomas Ulimwengu aliyemaliza mkataba wake TP Mazembe ya DRC na kundoka mwezi uliopita, Omar Mponda wa Ndanda FC na Nahodha Mbwana Samatta wa K.R.C Genk ya Ubelgiji.
from BIN ZUBEIRY SPORTS- ONLINE http://ift.tt/2f8oUNi
best mesothelioma law firms, mesothelioma attorneys, mesothelioma
lawyer, mesothelioma lawsuits, mesothelioma lawyers, mesothelioma
lawsuit, mesothelioma attorney, mesothelioma settlement, mesothelioma
lawsuit settlements, mesothelioma settlements, mesothelioma law firm,
lawyer mesothelioma, get a online mesothelioma law firm today,
mesothelioma claims, mesothelioma claim, malignant mesothelioma,
mesothelioma law, mesothelioma law firm california, mesothelioma
compensation, mesothelioma law firms, asbestos settlement, asbestos
claim, mesothelioma, asbestos lawsuit, asbestos lung cancer,
mesothelioma law suit, asbestos claims720, asbestos attorney,
mesothelioma lung cancer, mesothelioma causes, asbestos lawyer390,
mesothelioma cancer, asbestos lawsuits, asbestos lawyers, causes of
mesothelioma, asbestos cancer, mesothelioma law suits, what is
mesothelioma, law offices, mesothelioma symptoms
Terimakasih anda telah membaca artikel tentang SAMATTA KUWASILI DAR JUMATANO KUJIUNGA NA STARS. Jika ingin menduplikasi artikel ini diharapkan anda untuk mencantumkan link https://viralsport.blogspot.com/2016/11/samatta-kuwasili-dar-jumatano-kujiunga.html. Terimakasih atas perhatiannya.