Na Mwandishi Wetu, DAR ES SALAAM
MWENYEKITI wa Azam FC, Sheikh Said Muhammad amefariki dunia jioni ya leo katika hospitali ya Aga Khan, Dar es Salaam.
Mtendaji Mkuu wa Azam FC, Saad Kawemba ameiambia BIN ZUBEIRY SPORTS – ONLINE jioni hii kwamba Sheikh Said amefariki dunia muda mfupi baada ya kufikishwa hospitalini hapo.
Sheikh Said Muhammad amefariki dunia jioni ya leo katika hospitali ya Aga Khan, Dar es Salaam
“Hakuwa anaumwa, ni leo hali yake ilibadilika ghafla akapelekwa hospitali na familia yake, ambako ndiko umauti umemfika. Siwezi kusema zaidi kwa sasa, acha kwanza nifike hospitali nipate taarifa zaidi,”amesema Kawemba.
Mbali na kuwa Mwenyekiti wa Azam FC, Sheikh Said Muhammad pia alikuwa Makamu Mwenyekiti wa Bodi ya Ligi Kuu.
Taarifa za awali zinasema Sheikh Said Muhammad atazikwa kesho makaburi ya Kisutu, Dar es Salaam Saa 10:00 baada ya mwili wake kusaliwa msikiti wa Maamur, Upanga.
Inna lillah wainn ilayh rajiuun.
from BIN ZUBEIRY SPORTS- ONLINE http://ift.tt/2eFoj50
best mesothelioma law firms, mesothelioma attorneys, mesothelioma
lawyer, mesothelioma lawsuits, mesothelioma lawyers, mesothelioma
lawsuit, mesothelioma attorney, mesothelioma settlement, mesothelioma
lawsuit settlements, mesothelioma settlements, mesothelioma law firm,
lawyer mesothelioma, get a online mesothelioma law firm today,
mesothelioma claims, mesothelioma claim, malignant mesothelioma,
mesothelioma law, mesothelioma law firm california, mesothelioma
compensation, mesothelioma law firms, asbestos settlement, asbestos
claim, mesothelioma, asbestos lawsuit, asbestos lung cancer,
mesothelioma law suit, asbestos claims720, asbestos attorney,
mesothelioma lung cancer, mesothelioma causes, asbestos lawyer390,
mesothelioma cancer, asbestos lawsuits, asbestos lawyers, causes of
mesothelioma, asbestos cancer, mesothelioma law suits, what is
mesothelioma, law offices, mesothelioma symptoms