Na Mwandishi Wetu, MBEYA
VINARA wa Ligi Kuu ya Vodacom Tanzania Bara, Simba SC leo wanakamilisha mechi zao za mzunguko wa kwanza kwa kumenyana na wenyeji, Prisons Uwanja wa Sokoine, Mbeya.
Timu hiyo ya kocha Mcameroon, Joseph Marius Omog ipo Mbeya tangu Jumatatu mara tu baada ya mchezo wao uliopita wakifungwa 1-0 na African Lyon Uwanja wa Uhuru, Dar es Salaam.
Na wachezaji wa Simba wamepania kushinda mechi hiyo ili kumaliza vizuri mzunguko wa kwanza wa Ligi Kuu.
Mechi nyingine ya leo ni kati ya Mwadui ya Shinyanga na Azam FC ya Dar es Salaam ambayo itachezwa Uwanja wa Mwadui, Shinyanga, wakati kesho ligi hiyo itaendelea kwa mchezo mmoja tu, Yanga SC wakimenyana na Ruvu Shooting Uwanja wa Uhuru, Dar es Salaam.
Awali pamoja na mechi hizo kuwekwa kwenye ratiba, lakini hazikuwa na tarehe huku ikielekezwa tarehe zitatajwa baadaye.
Tayari Bodi ya Ligi Kuu ya Vodacom (VPL), imewasiliana na wahusika kuhusu mabadiliko hayo. Sababu ya kuvuta nyuma michezo hiyo ni kutoa nafasi ya maandalizi ya kambi ya timu ya Tanzania ‘Taifa Stars’ inayotarajiwa kusafiri Ijumaa wiki hii kwenda Harare Zimbabwe kwenye mchezo wa kirafiki wa kimataifa unaotarajiwa kufanyika Novemba 13, maka huu.
from BIN ZUBEIRY SPORTS- ONLINE http://www.binzubeiry.co.tz/2016/11/simba-sc-na-prisons-shughuli-pevu.html
best mesothelioma law firms, mesothelioma attorneys, mesothelioma
lawyer, mesothelioma lawsuits, mesothelioma lawyers, mesothelioma
lawsuit, mesothelioma attorney, mesothelioma settlement, mesothelioma
lawsuit settlements, mesothelioma settlements, mesothelioma law firm,
lawyer mesothelioma, get a online mesothelioma law firm today,
mesothelioma claims, mesothelioma claim, malignant mesothelioma,
mesothelioma law, mesothelioma law firm california, mesothelioma
compensation, mesothelioma law firms, asbestos settlement, asbestos
claim, mesothelioma, asbestos lawsuit, asbestos lung cancer,
mesothelioma law suit, asbestos claims720, asbestos attorney,
mesothelioma lung cancer, mesothelioma causes, asbestos lawyer390,
mesothelioma cancer, asbestos lawsuits, asbestos lawyers, causes of
mesothelioma, asbestos cancer, mesothelioma law suits, what is
mesothelioma, law offices, mesothelioma symptoms
Terimakasih anda telah membaca artikel tentang SIMBA SC NA PRISONS SHUGHULI PEVU SOKOINE LEO. Jika ingin menduplikasi artikel ini diharapkan anda untuk mencantumkan link https://viralsport.blogspot.com/2016/11/simba-sc-na-prisons-shughuli-pevu.html. Terimakasih atas perhatiannya.