Na Mwandishi Wetu, DAR ES SALAAM
LIGI Kuu ya Vodacom Tanzania Bara inatarajiwa kuendelea leo kwa vigogo Simba na Yanga SC kujitupa viwanjani kusaka pointi.
Mabingwa watetezi, Yanga watakuwa wanajiuliza mbele ya Prisons Uwanja wa Sokoine, Mbeya wakati vinara wa ligi hiyo, Simba SC watajaribu kuendeleza wimbi la ushindi mbele ya African Lyon Uwanja wa Uhuru, Dar es Salaam.
Jumatano Yanga walifungwa 2-1 na Mbeya City Uwanja wa Sokoine, Mbeya wakati Simba SC waliilaza Stand Unitedb 1-0 Uwanja wa Kambarage, Shinyanga.
Simba SC watakuwa wa shughuli na African Lyon leo Uwanja wa Uhuru, Dar es Salaam
Na baada ya matokeo hayo, Ligi Kuu inaendelea leo kwa timu 12 kuchuana kwenye viwanja sita- ikiwemo hizo mechi mbili za vigogo wa soka nchini, Simba na Yanga.
Mechi nyingine, Mbao FC watakuwa wenyeji wa Azam FC Uwanja wa CCM Kirumba mjini Mwanza, Ndanda watakuwa wenyeji wa Stand United ya Shinyanga Uwanja wa Nangwanda Sijaona mjini Mtwara na Kagera Sugar wataikaribisha Ruvu Shooting Uwanja wa Kaitaba mjini Bukoba.
Mechi nyingine, JKT Ruvu watakuwa wenyeji wa Toto Africans Uwanja wa Mabatini, Mlandizi mkoani Pwani wakati Jumatatu Mtibwa Sugar wataialika Mbeya City kwenye Uwanja wa Manungu, Turiani mkoani Morogoro na Mwadui watakuwa wenyeji wa Majimaji ya Songea Uwanja wa Mwadui, Shinyanga.
from BIN ZUBEIRY SPORTS- ONLINE http://ift.tt/2frInHb
best mesothelioma law firms, mesothelioma attorneys, mesothelioma
lawyer, mesothelioma lawsuits, mesothelioma lawyers, mesothelioma
lawsuit, mesothelioma attorney, mesothelioma settlement, mesothelioma
lawsuit settlements, mesothelioma settlements, mesothelioma law firm,
lawyer mesothelioma, get a online mesothelioma law firm today,
mesothelioma claims, mesothelioma claim, malignant mesothelioma,
mesothelioma law, mesothelioma law firm california, mesothelioma
compensation, mesothelioma law firms, asbestos settlement, asbestos
claim, mesothelioma, asbestos lawsuit, asbestos lung cancer,
mesothelioma law suit, asbestos claims720, asbestos attorney,
mesothelioma lung cancer, mesothelioma causes, asbestos lawyer390,
mesothelioma cancer, asbestos lawsuits, asbestos lawyers, causes of
mesothelioma, asbestos cancer, mesothelioma law suits, what is
mesothelioma, law offices, mesothelioma symptoms
Terimakasih anda telah membaca artikel tentang SIMBA WAPO UHURU LEO, YANGA SOKOINE TENA. Jika ingin menduplikasi artikel ini diharapkan anda untuk mencantumkan link https://viralsport.blogspot.com/2016/11/simba-wapo-uhuru-leo-yanga-sokoine-tena.html. Terimakasih atas perhatiannya.