Na Mwandishi Wetu, SONGEA
VIGOGO Simba SC wanateremka kwenye Uwanja wa Maji Maji mjini Songea kumenyana na wenyeji Maji Maji katika mfululizo wa Ligi Kuu ya Vodacom Tanzania Bara.
Simba wataingia kwenye mchezo wa leo wakiwa na kumbukumbu ya kucheza mechi mfululizo za Ligi Kuu bila kushinda, wakitoka kulazimishwa sare ya 0-0 na Mtibwa Sugar mjini Morogoro na kufungwa 1-0 na Azam FC, Dar es Salaam.
Kwa Maji Maji hali ndiyo mbaya zaidi, kwani wamecheza mechi tano mfululizo bila kushinda tangu walipoifunga Mwadui 1-0 Jumapili ya Novemba 6, mwaka jana Uwanja wa Mwadui Complex, Shinyanga.
 |
| Wachezaji wa Simba kutoka kulia beki Mzimbabwe Method Mwanjali, kipa Mghana Daniel Agyei na kiungo Jonas Mkude baada ya mechi na Azam wakifungwa 1-0. Leo watazinduka? |
Desemba 18 walifungwa 1-0 na Tanzania Prisons mjini Mbeya, Desemba 24 walilazimishwa sare ya 1-1 na Azam FC Songea, Desemba 28 walifungwa 1-0 na Mtibwa Sugar, Januari 17 walifungwa 1-0 na Yanga Songea na Januari 28 walilazimisha sare ya 0-0 na Ndanda Mtwara.
Kwa sababu hiyo, mchezo wa leo unatarajiwa kuwa mgumu kutokana na kila timu kuingia uwanjani kupigania ushindi.
Kwa sasa Simba SC inashika nafasi ya pili kwenye msimamo wa Ligi Kuu kwa pointi zao 45 baada ya kucheza mechi 20, nyuma mabingwa watetezi, Yanga wenye pointi 46 za mechi 20.
Wakati Simba inapigania ubingwa, Maji Maji yenyewe inapambana kuepuka kushuka daraja, hadi sasa ikiwa inashika nafasi ya 15 kwa pointi zake 18 za mechi 20, kwenye Ligi ya timu 16. Inaizidi pointi mbili tu JKT Ruvu inayoshika mkia.
from BIN ZUBEIRY SPORTS- ONLINE http://ift.tt/2l7pGtn
best mesothelioma law firms, mesothelioma attorneys, mesothelioma
lawyer, mesothelioma lawsuits, mesothelioma lawyers, mesothelioma
lawsuit, mesothelioma attorney, mesothelioma settlement, mesothelioma
lawsuit settlements, mesothelioma settlements, mesothelioma law firm,
lawyer mesothelioma, get a online mesothelioma law firm today,
mesothelioma claims, mesothelioma claim, malignant mesothelioma,
mesothelioma law, mesothelioma law firm california, mesothelioma
compensation, mesothelioma law firms, asbestos settlement, asbestos
claim, mesothelioma, asbestos lawsuit, asbestos lung cancer,
mesothelioma law suit, asbestos claims720, asbestos attorney,
mesothelioma lung cancer, mesothelioma causes, asbestos lawyer390,
mesothelioma cancer, asbestos lawsuits, asbestos lawyers, causes of
mesothelioma, asbestos cancer, mesothelioma law suits, what is
mesothelioma, law offices, mesothelioma symptoms
Terimakasih anda telah membaca artikel tentang SIMBA SC LAZIMA KIELEWEKE SONGEA LEO. Jika ingin menduplikasi artikel ini diharapkan anda untuk mencantumkan link https://viralsport.blogspot.com/2017/02/simba-sc-lazima-kieleweke-songea-leo.html. Terimakasih atas perhatiannya.