Na Mahmoud Zubeiry, DAR ES SALAAM
TANZANIA itaanza na Rwanda katika kuwania tiketi ya Fainali za Michuano ya Ubingwa wa Mataifa ya Afrika (CHAN) mwaka 2018 nchini Kenya.
Hiyo ni itakuwa katika Raundi ya pili ya mchujo wa michuano hiyo inayohusisha wachezaji wanaocheza ligi za nchini mwao pekee na Taifa Stars itaanzia nyumbani Dar es Salaam kabla ya kuwafuata Amavubi Kigali.
Mechi nyingine kwa upande wa ukanda wa Afrika Mashariki na Kati zitakuwa ni kati yaa Uganda na mshindi baina ya Somalia na Sudan Kusini zitakazomenyana katika Raundi ya Awali ya mchujo kati ya Aprili 20, 21 na 22 mwaka huu na kurudiana na kati ya Aprili 28, 29 na 30.
Djibouti itamenyana na Ethiopia, wakati Burundi itamenyana na Sudan na mechi za kwanza zinatarajiwa kufanyika kati ya Julai 14, 15 na 16 mwaka huu, wakati marudiano yatakuwa kati ya Julai 21, 22 na 23.
Ikifanikiwa kuitoa Rwanda, Tanzania itamenyana na mshindi kati ya Uganda na ama Sudan Kusini au Somalia katika Raundi ya Tatu ya mchujo mechi ya kwanza ikichezwa kati ya Agosti 11, 12 na 13 na marudiano kati ya Agosti 18, 19 na 20, mwaka huu.
Tanzania imewahi kushiriki mara moja tu fainali za CHAN, ambayo ilikuwa ni mwaka 2009 zikifanyika kwa mara ya kwanza kabia.
from BIN ZUBEIRY SPORTS- ONLINE http://ift.tt/2jHnWuN
best mesothelioma law firms, mesothelioma attorneys, mesothelioma
lawyer, mesothelioma lawsuits, mesothelioma lawyers, mesothelioma
lawsuit, mesothelioma attorney, mesothelioma settlement, mesothelioma
lawsuit settlements, mesothelioma settlements, mesothelioma law firm,
lawyer mesothelioma, get a online mesothelioma law firm today,
mesothelioma claims, mesothelioma claim, malignant mesothelioma,
mesothelioma law, mesothelioma law firm california, mesothelioma
compensation, mesothelioma law firms, asbestos settlement, asbestos
claim, mesothelioma, asbestos lawsuit, asbestos lung cancer,
mesothelioma law suit, asbestos claims720, asbestos attorney,
mesothelioma lung cancer, mesothelioma causes, asbestos lawyer390,
mesothelioma cancer, asbestos lawsuits, asbestos lawyers, causes of
mesothelioma, asbestos cancer, mesothelioma law suits, what is
mesothelioma, law offices, mesothelioma symptoms
Terimakasih anda telah membaca artikel tentang TAIFA STARS YAPEWA AMAVUBI KUFUZU CHAN 2018 KENYA. Jika ingin menduplikasi artikel ini diharapkan anda untuk mencantumkan link https://viralsport.blogspot.com/2017/02/taifa-stars-yapewa-amavubi-kufuzu-chan.html. Terimakasih atas perhatiannya.