Na Mwandishi Wetu, DAR ES SALAAM
MAANDALIZI ya michezo ya kwanza ya hatua ya 32 Bora michuano ya Afrika kati ya wenyeji Yanga na Azam za Tanzania dhidi ya Zacano ya Zambia na Mbabane Swallows ya Swaziland yamekamilika.
Yanga itakuwa mwenyeji wa Zanaco Jumamosi Uwanja wa Taifa, katika Ligi ya Mabingwa Afrika na Azam FC wataikaribisha Mbabane Swallows Jumapili Uwanja wa Azam Complex, Chamazi, Dar es Salaam.
Waamuzi wa mechi hiyo wanatarajiwa kuwawili leo kutoka Djibouti Djamal Aden Abdi atakayepuliza kipyenga akiasaidiwa na Hassan Yacin na Farhan Salime wakaopeperusha vibendera na refa wa akiba mezani Souleiman Djamal. Kamisaa wao katika mchezo huo namba 61 atakuwa Luleseged Asfaw kutoka Ethiopia.
Viingilio katika mchezo huo kvinatarajiwa kuwa Sh 20,000 kwa VIP ‘A’, Sh 10,000 kwa VIP ‘B’ na ‘C’ na Mzunguko (Viti vya Rangi ya chungwa, kijani na bluu) ni Sh 3,000.
Waamuzi wa mechi ya Azam wanatoka Benin ambao ni Mwamuzi wa kati, Addissa Abdul Ligali na wasaidizi ni Medegnonwa Romains Agbodjogbe na Babadjide Bienvenu Dina huku Mwamuzi wa akiba akiwa Moumouni Kiagou na kamisha wa mchezo atakuwa Mohamed Omar Yusud wa Kenya.
Kiingilio katika mchezo huo kwa mujibu wa Mtendaji Mkuu wa Azam FC, Saad Kawemba ni Sh 10,000 kwa VIP, Jukwa Kuu itakuwa ni Sh 5,000 na Mzunguko itakuwa ni Sh 3,000.
Wakati huohuo, tiketi za waamuzi wa Tanzania walioteuliwa na Shirikisho la Mpira wa Miguu Afrika (CAF), kuchezesha mechi ya Ligi ya Mabingwa Afrika kati ya timu za AS Porto Louis 2000 ya Mauritius na El Hilal ya Sudan wikiendi ijayo, wamepata tiketi zao za kusafiri.
Katika mchezo huo ambao utafanyika ama Machi 17, 18 au 19 Mwamuzi wa kati atakuwa Israel Mujuni Nkongo wakati wasaidizi wake watakuwa ni Samuel Hudson Mpenzu na Josephat Deu Bulali huku Mwamuzi wa akiba akiwa ni Hery Sasii. Kamisha katika mchezo huo Na. 78 atakuwa Jerome Kelvyn Damon kutoka Afrika Kusini.
from BIN ZUBEIRY SPORTS- ONLINE http://ift.tt/2m6jfI7
best mesothelioma law firms, mesothelioma attorneys, mesothelioma
lawyer, mesothelioma lawsuits, mesothelioma lawyers, mesothelioma
lawsuit, mesothelioma attorney, mesothelioma settlement, mesothelioma
lawsuit settlements, mesothelioma settlements, mesothelioma law firm,
lawyer mesothelioma, get a online mesothelioma law firm today,
mesothelioma claims, mesothelioma claim, malignant mesothelioma,
mesothelioma law, mesothelioma law firm california, mesothelioma
compensation, mesothelioma law firms, asbestos settlement, asbestos
claim, mesothelioma, asbestos lawsuit, asbestos lung cancer,
mesothelioma law suit, asbestos claims720, asbestos attorney,
mesothelioma lung cancer, mesothelioma causes, asbestos lawyer390,
mesothelioma cancer, asbestos lawsuits, asbestos lawyers, causes of
mesothelioma, asbestos cancer, mesothelioma law suits, what is
mesothelioma, law offices, mesothelioma symptoms
Terimakasih anda telah membaca artikel tentang KILA KITU KIPO TAYARI AZAM NA MBABANE, YANGA NA ZANACO. Jika ingin menduplikasi artikel ini diharapkan anda untuk mencantumkan link https://viralsport.blogspot.com/2017/03/kila-kitu-kipo-tayari-azam-na-mbabane.html. Terimakasih atas perhatiannya.