Rais wa Shirikisho la Soka Tanzania (TFF), Jamal Malinzi (kulia) akimkabidhi Kombe la ubingwa wa Ligi Kuu ya Wanawake, Nahodha wa Mlandizi Queens, Mwanahamisi Omar 'Gaucho' baada ya kumaliza na pointi 15 za mechi tano katika Sita Bora ya michuano hiyo na kuwapiku JKT Queens waliomaliza na pointi 12
Mwanahamisi Gaucho akiinua Kombe la Ligi Kuu ya Wanawake leo baada ya kuiongoza Mlandizi Queens kuifunga 5-0 Panama ya Iringa leo akifunga mabao manne
Rais Jamal Malinzi akimkabidhi mfano wa hundi ya Sh Milioni 5 baada ya ubingwa
Jamal Malinzi akimvalisha Medali Mwenyekiti wa Chama cha Soka Pwani (COREFA), Hassan Hassanoo kufuatia mafanikio ya Mlandizi Queens
Meneja wa Idara ya Michezo ya Azam TV, Baruwan Muhuza (kulia) akimvalisha Medali mchezaji wa JKT Queens iliyomaliza nafasi ya pili, Fatuma Issa 'Foe'
Wachezaji wa Mlandizi Queens wakisherehekea na Kombe lao la ubingwa wa Ligi Kuu ya Wanawake
from BIN ZUBEIRY SPORTS- ONLINE http://ift.tt/2mrrIGX
best mesothelioma law firms, mesothelioma attorneys, mesothelioma
lawyer, mesothelioma lawsuits, mesothelioma lawyers, mesothelioma
lawsuit, mesothelioma attorney, mesothelioma settlement, mesothelioma
lawsuit settlements, mesothelioma settlements, mesothelioma law firm,
lawyer mesothelioma, get a online mesothelioma law firm today,
mesothelioma claims, mesothelioma claim, malignant mesothelioma,
mesothelioma law, mesothelioma law firm california, mesothelioma
compensation, mesothelioma law firms, asbestos settlement, asbestos
claim, mesothelioma, asbestos lawsuit, asbestos lung cancer,
mesothelioma law suit, asbestos claims720, asbestos attorney,
mesothelioma lung cancer, mesothelioma causes, asbestos lawyer390,
mesothelioma cancer, asbestos lawsuits, asbestos lawyers, causes of
mesothelioma, asbestos cancer, mesothelioma law suits, what is
mesothelioma, law offices, mesothelioma symptoms