Na Mahmoud Zubeiry, DAR ES SALAAM
BEKI wa kati tegemeo wa Simba, Mzimbabwe Method Mwanjali ataendelea kuwa nje kwa mwezi wote wa Machi kutokana na maumivu ya goti.
Mwanjali hajajumuishwa kwenye kikosi kinachoondoka asuhuhi ya kesho Dar es Salaam kwenda ziara ya Dodoma kwenye mchezo wa kirafiki dhidi ya wenyeji, Polisi Jumamosi wiki hii Uwanja wa Jamhuri mjini humo.
Na akizungumza na Bin Zubeiry Sports – Online leo, Daktari wa Simba, Yassin Gembe amesema kwamba Mwanjali hatakwenda Dodoma na hatahusishwa kwenye programu yoyote ya timu mwezi huu wa Machi.
Method Mwanjali aliumia goti katika mchezo wa Ligi Kuu ya Vodacom Tanzania Bara dhidi ya Prisons Februari 11
Gembe amesema kwamba wanataka Mwanjali aendelee kupatiwa matibabu hadi awe fiti kabisa, ili akirejea iwe amerudi rasmi kuisaidia timu.
“Tunataka apone vizuri kabisa ndiyo arejee uwanjani. Kwa hiyo Machi yote hatakuwemo kwenye programu za timu,”amesema Gembe.
Mwanjali aliumia goti katika mchezo wa Ligi Kuu ya Vodacom Tanzania Bara dhidi ya Prisons Februari 11, mwaka huu Uwanja wa Taifa, Dar es Salaam, Simba ikishinda 3-0.
Mwanjali aliye katika msimu wake wa kwanza Simba SC, alitolewa kwa machela siku hiyo na nafasi yake kuchukuliwa na kiungo Mwinyi Kazimoto dakika ya 62.
from BIN ZUBEIRY SPORTS- ONLINE http://ift.tt/2ndWTVd
best mesothelioma law firms, mesothelioma attorneys, mesothelioma
lawyer, mesothelioma lawsuits, mesothelioma lawyers, mesothelioma
lawsuit, mesothelioma attorney, mesothelioma settlement, mesothelioma
lawsuit settlements, mesothelioma settlements, mesothelioma law firm,
lawyer mesothelioma, get a online mesothelioma law firm today,
mesothelioma claims, mesothelioma claim, malignant mesothelioma,
mesothelioma law, mesothelioma law firm california, mesothelioma
compensation, mesothelioma law firms, asbestos settlement, asbestos
claim, mesothelioma, asbestos lawsuit, asbestos lung cancer,
mesothelioma law suit, asbestos claims720, asbestos attorney,
mesothelioma lung cancer, mesothelioma causes, asbestos lawyer390,
mesothelioma cancer, asbestos lawsuits, asbestos lawyers, causes of
mesothelioma, asbestos cancer, mesothelioma law suits, what is
mesothelioma, law offices, mesothelioma symptoms
Terimakasih anda telah membaca artikel tentang MWANJALI SASA LABDA MWEZI UJAO KUREJEA SIMBA SC. Jika ingin menduplikasi artikel ini diharapkan anda untuk mencantumkan link https://viralsport.blogspot.com/2017/03/mwanjali-sasa-labda-mwezi-ujao-kurejea.html. Terimakasih atas perhatiannya.