Cristiano Ronaldo baada ya kumpiga chenga kipa wa Napoli, Pepe Reina dakika ya 29, lakini akiwa amebaki anatazamana na nyavu, akagongesha mwamba na kukosa bao la wazi. Hata hivyo, Real ilishinda 3-1 katika mchezo huo wa marudiano hatua ya 16 Bora Ligi ya Mabingwa Ulaya usiku wa jana Uwanja wa San Paolo mjini Napoli na kwenda Robo Fainali kwa ushindi wa jumla wa 6-2 baada ya kushinda 3-1 pia nyumbani Madrid kwenye mchezo wa kwanza. Mabao ya Real jana yalifungwa na Sergio Ramos dakika ya 51, Dries Mertens aliyejifunga dakika ya 57 na Alvaro Morata dakika ya 90 na ushei. Mertens ndiye aliyefunga poia bao la Napoli dakikaa ya 24 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
from BIN ZUBEIRY SPORTS- ONLINE http://ift.tt/2mVFzZ5
best mesothelioma law firms, mesothelioma attorneys, mesothelioma
lawyer, mesothelioma lawsuits, mesothelioma lawyers, mesothelioma
lawsuit, mesothelioma attorney, mesothelioma settlement, mesothelioma
lawsuit settlements, mesothelioma settlements, mesothelioma law firm,
lawyer mesothelioma, get a online mesothelioma law firm today,
mesothelioma claims, mesothelioma claim, malignant mesothelioma,
mesothelioma law, mesothelioma law firm california, mesothelioma
compensation, mesothelioma law firms, asbestos settlement, asbestos
claim, mesothelioma, asbestos lawsuit, asbestos lung cancer,
mesothelioma law suit, asbestos claims720, asbestos attorney,
mesothelioma lung cancer, mesothelioma causes, asbestos lawyer390,
mesothelioma cancer, asbestos lawsuits, asbestos lawyers, causes of
mesothelioma, asbestos cancer, mesothelioma law suits, what is
mesothelioma, law offices, mesothelioma symptoms