Na Prince Akbar, DAR ES SALAAM
YANGA SC imelalamikia kubadilishiwa Uwanja kutoka wa Taifa hadi Uhuru kwa ajili ya mchezo wao wa leo dhidi ya Kiluvya United.
Yanga SC imefanikiwa kwenda Robo Fainali ya Kombe la Shirikisho la Soka Tanzania (TFF) kwa ushindi wa kishindo wa mabao 6-1 dhidi ya Kiluvya United ya Pwani katika mchezo wa kukamilisha hatua ya 16 Bora ya michuano hiyo inayojulikana pia kama Azam Sports Federation Cup (ASFC).
Na kumbe mchezo huo uliofanyika Uwanja wa Uhuru, Dar es Salaam, Yanga walijua utachezwa Taifa, lakini TFF ikabadilisha bila kuwashirikisha.
Pamoja na ushindi wa 6-1 dhidi ya Kiluvya United leo, Yanga wamelalamika kubadilishiwa Uwanja kutoka Taifa hadi Uhuru
Kocha Msaidizi wa Yanga, Juma Mwambusi amelalamikia hali hiyo kwani Uwanja wa Uhuru si mzuri katika eneo la kuchezea na huwasababishia maumivu wachezaji.
Na Mwambusi amesema kwamba wanafanyiwa hivyo wakati Jumamosi watakuwa mchezo mgumu wa Ligi ya Mabingwa Afrika dhidi ya Zanaco ya Zambia.
“Kitendo cha kutubadilishia Uwanja kwa kweli si kizuri, sisi tulijua tunakwenda kucheza Taifa, kufika tunaambiwa tunacheza Uhuru, athari zake ni kwamba wachezaji wetu wawili wameumia leo,”.
Mwambusi amewataja wachezaji walioumia ni Geoffrey Mwashiuya na Juma Mahadhi ambao wanaongeza idadi ya majeruhi Yanga hadi kufika watatu, wakiungana na mshambuliaji Mrundi Amisi Tambwe kuelelea mechi ya kwanza ya hatua ya 32 Bora Ligi ta Mabingwa Afrika dhidi ya Zanaco Jumamosi Dar es Salaam.
Baada ya ushindi wa leo uliotokana na mabao ya Mzambia Obrey Chirwa aliyefunga manne na Mwashiuya na Mahadhi waliofunga moja kila mmoja, Yanga inarejea kambini kujiandaa na mchezo dhidi ya Zanaco.
from BIN ZUBEIRY SPORTS- ONLINE http://ift.tt/2lZiznN
best mesothelioma law firms, mesothelioma attorneys, mesothelioma
lawyer, mesothelioma lawsuits, mesothelioma lawyers, mesothelioma
lawsuit, mesothelioma attorney, mesothelioma settlement, mesothelioma
lawsuit settlements, mesothelioma settlements, mesothelioma law firm,
lawyer mesothelioma, get a online mesothelioma law firm today,
mesothelioma claims, mesothelioma claim, malignant mesothelioma,
mesothelioma law, mesothelioma law firm california, mesothelioma
compensation, mesothelioma law firms, asbestos settlement, asbestos
claim, mesothelioma, asbestos lawsuit, asbestos lung cancer,
mesothelioma law suit, asbestos claims720, asbestos attorney,
mesothelioma lung cancer, mesothelioma causes, asbestos lawyer390,
mesothelioma cancer, asbestos lawsuits, asbestos lawyers, causes of
mesothelioma, asbestos cancer, mesothelioma law suits, what is
mesothelioma, law offices, mesothelioma symptoms
Terimakasih anda telah membaca artikel tentang YANGA WALALAMIKA KUBADILISHA UWANJA ‘JUU KWA JUU’. Jika ingin menduplikasi artikel ini diharapkan anda untuk mencantumkan link https://viralsport.blogspot.com/2017/03/yanga-walalamika-kubadilisha-uwanja-juu.html. Terimakasih atas perhatiannya.