MABINGWA wa Ligi Kuu ya Azam Uganda, KCCA wameweka rekodi ya kuwa klabu ya kwanza nchini humo kufuzu hatua ya makundi ya Kombe la Shirikisho Afrika Jumamosi.
Hiyo inafuatia kuitoa Al Masry ya Misri kwa penalti 4-3 mjini Cairo baadaya sare ya kumla ya 1-1 kufuatia kila timu kushinda 1-0 nyumbani.
KCCA Jumamosi imefungwa hii imefungwa 1-0 ikitoka kushinda 1-0 kwenye mchezo wa kwanza Uwanja wa Phillip Omondi bao pekee la Derrick Nsibambi.
Kipa Benjamin Ochan leo ameokoa michomo miwili ya penalti na kufunga moja sawa na Geofrey Sserunkuma, Muzamiru Mutyaba na Timothy Dennis Awany kuipa ushindi huo KCCA.
KCCA iliangukia kwenye mchujo wa kuwania kucheza hatua ya makundi ya Kombe la Shirikisho baada ya kutolewa na Mamelodi Sundowns ya Afrika Kusini kwenye Ligi ya Mabingwa.
from BIN ZUBEIRY SPORTS- ONLINE http://ift.tt/2pnIyHN
best mesothelioma law firms, mesothelioma attorneys, mesothelioma
lawyer, mesothelioma lawsuits, mesothelioma lawyers, mesothelioma
lawsuit, mesothelioma attorney, mesothelioma settlement, mesothelioma
lawsuit settlements, mesothelioma settlements, mesothelioma law firm,
lawyer mesothelioma, get a online mesothelioma law firm today,
mesothelioma claims, mesothelioma claim, malignant mesothelioma,
mesothelioma law, mesothelioma law firm california, mesothelioma
compensation, mesothelioma law firms, asbestos settlement, asbestos
claim, mesothelioma, asbestos lawsuit, asbestos lung cancer,
mesothelioma law suit, asbestos claims720, asbestos attorney,
mesothelioma lung cancer, mesothelioma causes, asbestos lawyer390,
mesothelioma cancer, asbestos lawsuits, asbestos lawyers, causes of
mesothelioma, asbestos cancer, mesothelioma law suits, what is
mesothelioma, law offices, mesothelioma symptoms
Terimakasih anda telah membaca artikel tentang KCC YAWATUPA NJE WAARABU WA MISRI NA KUTINGA MAKUNDI AFRIKA. Jika ingin menduplikasi artikel ini diharapkan anda untuk mencantumkan link https://viralsport.blogspot.com/2017/04/kcc-yawatupa-nje-waarabu-wa-misri-na.html. Terimakasih atas perhatiannya.