Na Mwandishi Wetu, DAR ES SALAAM
MSHAMBULIAJI chipukizi wa kimataifa wa Tanzania, Mbaraka Yussuf Abeid wa Kagera Sugar FC ya Bukoba amechaguliwa kuwa mchezaji bora wa Ligi Kuu ya Vodacom Tanzania Bara kwa mwezi Machi kwa msimu wa 2016/2017.
Mbaraka amewashinda wachezaji Salum Abubakar ‘Sure Boy’ wa Azam FC na Kenny Ally wa Mbeya City kutokana na kuonyesha kiwango cha hali ya juu, hivyo kuisadia timu yake kupata matokeo mazuri.
Katika mwezi huo ilichezwa raundi moja tu na Mbaraka ambaye alicheza kwa dakika zote 90 aliisaidia timu yake kukusanya pointi zote tatu zilizoifanya timu yake kubaki katika nafasi ya nne (4) katika msimamo wa ligi kwa mwezi huo.
 |
| Mbaraka Yussuf akimtoka kiungo wa Simba, Muzamil Yassin Jumapili Uwanja wa Kaitaba |
Katika mchezo huo mmoja, Mshambuliaji huyo alifunga goli moja, na alionyesha nidhamu ya hali ya juu, hivyo kutopata onyo lolote la kadi.
Kwa kushinda tuzo hiyo, Mbaraka atazawadiwa kitita cha sh. 1,000,000 (milioni moja) kutoka kwa wadhamini wa Ligi hiyo, kampuni ya Vodacom Tanzania PLC.
Ushindi huo ni mwendelezo wa furaha kwa chipukizi huyo, baada ya wiki iliyopita kuifungia Tanzania, Taifa Stars bao la ushindi ikiilaza 2-1 Burundi na Jumapili kuifungia bao la kwanza Kagera Sugar ikiilaza 2-1 timu yake ya zamani, Simba SC.
Na hii inakuwa mara ya pili ndani ya miezi mitatu Kagera Sugar kutoa mchezaji Bora wa Ligi Kuu, baada ya kipa wake, Juma Kaseja kuwa mchezaji Bora wa Januari.
Na kwa ujumla Tuzo ya Mchezaji Bora VPL inabaki Kanda ya Ziwa kwa mwezi wa tatu mfululizo, baada ya Hassan Kabunda wa Mwadui FC ya Shinyanga kuwa mchezaji Bora wa Februari.
from BIN ZUBEIRY SPORTS- ONLINE http://ift.tt/2nT9Bdp
best mesothelioma law firms, mesothelioma attorneys, mesothelioma
lawyer, mesothelioma lawsuits, mesothelioma lawyers, mesothelioma
lawsuit, mesothelioma attorney, mesothelioma settlement, mesothelioma
lawsuit settlements, mesothelioma settlements, mesothelioma law firm,
lawyer mesothelioma, get a online mesothelioma law firm today,
mesothelioma claims, mesothelioma claim, malignant mesothelioma,
mesothelioma law, mesothelioma law firm california, mesothelioma
compensation, mesothelioma law firms, asbestos settlement, asbestos
claim, mesothelioma, asbestos lawsuit, asbestos lung cancer,
mesothelioma law suit, asbestos claims720, asbestos attorney,
mesothelioma lung cancer, mesothelioma causes, asbestos lawyer390,
mesothelioma cancer, asbestos lawsuits, asbestos lawyers, causes of
mesothelioma, asbestos cancer, mesothelioma law suits, what is
mesothelioma, law offices, mesothelioma symptoms
Terimakasih anda telah membaca artikel tentang MBARAKA YUSSUF ABEID MCHEZAJI BORA WA LIGI MACHI 2017. Jika ingin menduplikasi artikel ini diharapkan anda untuk mencantumkan link https://viralsport.blogspot.com/2017/04/mbaraka-yussuf-abeid-mchezaji-bora-wa.html. Terimakasih atas perhatiannya.