Na Mahmoud Zubeiry, BUKOBA
KOCHA wa Simba SC, Mcameroon, Joseph Marius Omog amemuanzisha kiungo Muzamil Yassin katika beki ya kulia kwenye mchezo wa Ligi Kuu ya Vodacom Tanzania Bara dhidi ya wenyeji Kagera Sugar jioni ya leo Uwanja wa Kaitaba, Bukoba.
Hiyo inafuatia mabeki wote wa pembeni kulia kutokuwa tayari kwa mchezo wa leo, Janvier Besala Bokungu raia wa Jamhuri ya Kixdemokradia ya Kongo (DRC) anamalizia kadi nyekundu aliyoipata dhidi ya Yanga Februari 25 wakati Hamad Juma ni mgonjwa. Bokungu tayari amekosa mechi dhidi ya Mbeya City.
Muzamil Yassin (kulia) anaanza kama beki wa kulia dhidi ya Kagera leo
Omog ameweka viungo watatu katikati ambao ni Nahodha Jonas Mkude, Mghana James Kote na Said Ndemla, wakati kulia atachez winga Shiza Kichuya na washambuliaji ni Laudit Mavugo na Ibrahim Hajib.
Langoni anaendelea kusimama Mghana, Daniel Agyei, kushoto Mohammed Hussein ‘Tshabalala’ katikati Abdi Banda na Juuko Murshid.
Kwa ujumla kikosi cha Simba leo kipo hivi; Simba SC; Daniel Agyei, Muzamil Yassin, Mohammed Hussein ‘Tshabalala’, Abdi Banda, Juuko Murshid, Jonas Mkude, Shiza Kichuya, Said Ndemla, Laudit Mavuo, Ibrahim Hajib na James Kotei.
Katika benchi wapo Peter Manyika, Novaty Lufunga, Mwinyi Kazimoto, Pastory Athanas, Jamal Mnyate, Juma Luizio na Mohammed ‘Mo’ Ibrahim.
from BIN ZUBEIRY SPORTS- ONLINE http://ift.tt/2ntfwUL
best mesothelioma law firms, mesothelioma attorneys, mesothelioma
lawyer, mesothelioma lawsuits, mesothelioma lawyers, mesothelioma
lawsuit, mesothelioma attorney, mesothelioma settlement, mesothelioma
lawsuit settlements, mesothelioma settlements, mesothelioma law firm,
lawyer mesothelioma, get a online mesothelioma law firm today,
mesothelioma claims, mesothelioma claim, malignant mesothelioma,
mesothelioma law, mesothelioma law firm california, mesothelioma
compensation, mesothelioma law firms, asbestos settlement, asbestos
claim, mesothelioma, asbestos lawsuit, asbestos lung cancer,
mesothelioma law suit, asbestos claims720, asbestos attorney,
mesothelioma lung cancer, mesothelioma causes, asbestos lawyer390,
mesothelioma cancer, asbestos lawsuits, asbestos lawyers, causes of
mesothelioma, asbestos cancer, mesothelioma law suits, what is
mesothelioma, law offices, mesothelioma symptoms
Terimakasih anda telah membaca artikel tentang OMOG AMPANGA MUZAMIL YASSIN KUCHEZA BEKI YA KULIA. Jika ingin menduplikasi artikel ini diharapkan anda untuk mencantumkan link https://viralsport.blogspot.com/2017/04/omog-ampanga-muzamil-yassin-kucheza.html. Terimakasih atas perhatiannya.