Na Rehema Lucas, DAR ES SALAAM
KIINGILIO cha chini katika mchezo wa kwanza wa mchujo wa kuwania kuingia hatua ya makundi ya Kombe la Shirikisho Afrika kati ya wenyeji, Yanga na MC Alger ya Algeria kitakuwa cha Sh. 5,000.
Mchezo unatarajiwa kufanyika Jumamosi Uwanja wa Taifa, Dar es Salaam na viingiklio vingine vitakuwa Sh. 20,000 kwa VIP B na C na 30,000 kwa VIP A.
Akizungumza na Waandishi wa Habari mchana wa leo, makao makuu ya klabu, Jangwani, Dar es Salaam, Katibu Mkuu wa Yanga, Charles Boniface Mkwasa amesema kwamba maandalizi ya mchezo yanaendelea vizuri.
Charles Boniface Mkwasa amesema MC Alger wanatarajiwa kuwasili Alhamisi mchana mjini Dar es Salaam
nga nacho kitaingia kambini kesho.
Tayari Shirikisho ya Soka Afrika (CAF), limetaja marefa wa Rwanda na Guinea kuchezesha mechi mbili za mchujo wa kuwania kuingia hatua ya makundi ya Kombe la Shirikisho Afrika kati ya Yanga SC na MC Alger ya Algeria.
Mchezo wa kwanza Aprili 8, mwaka huu Uwanja wa Taifa, Dar es Salaam utachezeshwa na Louis Hakizimana Atakayepuliza Filimbi Akisaidiwa Na Theogene Ndagijimana na Jean Bosco Niyitegeka wote kutoka Rwanda.
Mchezo wa marudiano Aprili 14 nchini Algeria utachezeshwa na marefa wa Guinea, ambao ni Yakhouba Keita, Aboubacar Doumbouya na Mamady Tere na mshindi wa jumla atafuzu hatua ya makundi ya Kombe la Shirikisho Afrika mwaka huu.
Mwaka jana pia Yanga ilitolewa katika Ligi ya Mabingwa na kuangukia kwenye kapu la kuwania hatua ya makundi ya Kombe la Shirikisho ambako ilifuzu baada ya kuitoa Sagrada Esperanca ya Angola.
Yanga SC imeangukia Kombe la Shirikisho Afrika baada ya kutolewa katika michuano ya Ligi ya Mabingwa baada ya sare ya 0-0 na wenyeji, Zanaco Uwanja wa Taifa wa Mashujaa, Lusaka nchini Zambia ikitoka kulazimishwa sare ya 1-1 kwenye mchezo wa kwanza Uwanja wa Taifa, Dar es Salaam.
from BIN ZUBEIRY SPORTS- ONLINE http://ift.tt/2o53Zii
best mesothelioma law firms, mesothelioma attorneys, mesothelioma
lawyer, mesothelioma lawsuits, mesothelioma lawyers, mesothelioma
lawsuit, mesothelioma attorney, mesothelioma settlement, mesothelioma
lawsuit settlements, mesothelioma settlements, mesothelioma law firm,
lawyer mesothelioma, get a online mesothelioma law firm today,
mesothelioma claims, mesothelioma claim, malignant mesothelioma,
mesothelioma law, mesothelioma law firm california, mesothelioma
compensation, mesothelioma law firms, asbestos settlement, asbestos
claim, mesothelioma, asbestos lawsuit, asbestos lung cancer,
mesothelioma law suit, asbestos claims720, asbestos attorney,
mesothelioma lung cancer, mesothelioma causes, asbestos lawyer390,
mesothelioma cancer, asbestos lawsuits, asbestos lawyers, causes of
mesothelioma, asbestos cancer, mesothelioma law suits, what is
mesothelioma, law offices, mesothelioma symptoms