Na Princess Asia, DAR ES SALAAM
TIMU ya Kagera Sugar leo inatarajiwa kuwasilisha malalamiko Bodi ya Ligi ya Shirikisho la Soka Tanzania (TFF) kupinga kadi nyekundu aliyoonyeshwa mshambuliaji wao, Mbaraka Yussuf Abeid katika mchezo dhidi ya Yanga jana.
Kagera Sugar ilifungwa 2-1 na wenyeji, Yanga SC katika mchezo wa Ligi Kuu ya Vodacom Tanzania Bara jana Uwanja wa Taifa, Dar es Salaam na bahati mbaya mfungaji wa bao lao na mshambuliaji wao tegemeo, Mbaraka Yussuf hakumaliza mechi.
Refa bora wa Ligi Kuu msimu uliopita, Ngole Mwangole wa Mbeya alimtoa nje kwa kadi nyekundu Mbaraka Yussuf Abeid dakika ya 87 baada ya kumchezea rafu beki wa Yanga, Kevin Yondan.
Mbaraka Yussuf Abeid aliifungia Kagera Sugar jana ikawa 1-1 kabla ya Yanga kupata bao la pili
Hata hivyo, kipindi cha pili Mbaraka Yussuf akatolewa nje kwa kadi nyekundu
Lakini akizungumza na Bin Zubery Sport – Online jana, Mratibu wa Kagera Sugar, Mohammed Hussein alisema kwamba wanaandikia barua TFF kupinga kadi hiyo kama ilivyo walivyowahi kufanya Yanga, kupinga kadi ya Obrey Chirwa.
Alisema mchezaji wao hakucheza rafu zaidi ya kuruka juu tu kiungwana kuwania mpira dhidi ya beki wa Yanga, Yondan. “Yondan pale alimdanganya refa, na refa akadanganyika, lakini naamini wakirudia kuangalia teknolojia ya picha za video wataona vizuri na watabatilisha maamuzi yao,”alisema.
Alisema kadi hiyo itamkwamisha Mbaraka katika harakati zake za kuwania ufungaji bora wa Ligi Kuu ya Vodacom Tanzania Bara hadi sasa akiwa ana mabao 12, nyuma ya Simon Msuva wa Yanga, anayeongoza kwa mabao yake 13.
from BIN ZUBEIRY SPORTS- ONLINE http://ift.tt/2qQJyYt
best mesothelioma law firms, mesothelioma attorneys, mesothelioma
lawyer, mesothelioma lawsuits, mesothelioma lawyers, mesothelioma
lawsuit, mesothelioma attorney, mesothelioma settlement, mesothelioma
lawsuit settlements, mesothelioma settlements, mesothelioma law firm,
lawyer mesothelioma, get a online mesothelioma law firm today,
mesothelioma claims, mesothelioma claim, malignant mesothelioma,
mesothelioma law, mesothelioma law firm california, mesothelioma
compensation, mesothelioma law firms, asbestos settlement, asbestos
claim, mesothelioma, asbestos lawsuit, asbestos lung cancer,
mesothelioma law suit, asbestos claims720, asbestos attorney,
mesothelioma lung cancer, mesothelioma causes, asbestos lawyer390,
mesothelioma cancer, asbestos lawsuits, asbestos lawyers, causes of
mesothelioma, asbestos cancer, mesothelioma law suits, what is
mesothelioma, law offices, mesothelioma symptoms
Terimakasih anda telah membaca artikel tentang KAGERA SUGAR KUPINGA KADI NYEKUNDU YA MBARAKA JANA. Jika ingin menduplikasi artikel ini diharapkan anda untuk mencantumkan link https://viralsport.blogspot.com/2017/05/kagera-sugar-kupinga-kadi-nyekundu-ya.html. Terimakasih atas perhatiannya.