Na Mwandishi Wetu, DAR ES SALAAM
MLINDA mlango mkongwe nchini, Juma Kaseja leo anaanza katika lango la Kagera Sugar kwenye mchezo dhidi ya timu yake ya zamani, Yanga SC.
Kagera Sugar watakuwa wageni wa Yanga SC Uwanja wa Taifa, Dar es Salaam kuanzia Saa 10:30 katika mchezo wa Ligi Kuu ya Vodacom Tanzania Bara.
Na misimu miwili tangu aondoke Jangwani, Kaseja atacheza dhidi ya Yanga kwa mara ya pili leo, baada ya Desemba 26 mwaka juzi kuidakia Mbeya City ikifungwa 3-0 Uwanja wa Taifa, Dar es Salaam.
Juma Kaseja leo anaanza katika lango la Kagera Sugar dhidi ya timu yake ya zamani, Yanga SC
Vikosi vya leo vipo hivi; Yanga SC; Benno Kakolanya, Hassan Kessy, Mwinyi Hajji Mngwali, Kevin Yondan, Nadir Haroub ‘Cannavaro’, Thabani Kamusoko, Simon Msuva, Haruna Niyonzima, Amissi Tambwe, Obrey Chirwa na Geoffrey Mwashiuya.
Katika benchi wapo; Deo Munishi ‘Dida’, Juma Abdul, Vinecnt Bossou, Matheo Anthony, Deus Kaseke, Emmanuel Martin na Said Juma ‘Makapu’.
Kagera Sugar; Juma Kaseja, Godfrey Taita, Mwaita Gereza, Babu Ali Seif, Mohammed Fakhi, George Kavilla, Suleiman Mangoma, Ally Nassor ‘Ufudu’, Mbaraka Yussuf, Ame Ali ‘Zungu’ na Edward Christopher.
Katika benchi wapo; John Mwenda, Japhet Makarai, Themi Felix, Juma Jabu, Paul Ngway, Ali Ramadhani ‘Kagawa’ na Anthony Matogolo.
from BIN ZUBEIRY SPORTS- ONLINE http://ift.tt/2q1Zpk7
best mesothelioma law firms, mesothelioma attorneys, mesothelioma
lawyer, mesothelioma lawsuits, mesothelioma lawyers, mesothelioma
lawsuit, mesothelioma attorney, mesothelioma settlement, mesothelioma
lawsuit settlements, mesothelioma settlements, mesothelioma law firm,
lawyer mesothelioma, get a online mesothelioma law firm today,
mesothelioma claims, mesothelioma claim, malignant mesothelioma,
mesothelioma law, mesothelioma law firm california, mesothelioma
compensation, mesothelioma law firms, asbestos settlement, asbestos
claim, mesothelioma, asbestos lawsuit, asbestos lung cancer,
mesothelioma law suit, asbestos claims720, asbestos attorney,
mesothelioma lung cancer, mesothelioma causes, asbestos lawyer390,
mesothelioma cancer, asbestos lawsuits, asbestos lawyers, causes of
mesothelioma, asbestos cancer, mesothelioma law suits, what is
mesothelioma, law offices, mesothelioma symptoms
Terimakasih anda telah membaca artikel tentang KASEJA ANAANZA LEO KAGERA DHIDI YA YANGA TAIFA. Jika ingin menduplikasi artikel ini diharapkan anda untuk mencantumkan link https://viralsport.blogspot.com/2017/05/kaseja-anaanza-leo-kagera-dhidi-ya.html. Terimakasih atas perhatiannya.