Na Mahmoud Zubeiry, LIBREVILLE
MICHEZO yote ya Kundi B Fainali za Mataifa ya Afrika Vijana chini ya umri wa miaka 17 kuanza kwa sare jana Uwanja wa l’Amitie Sino mjini Libreville, Gabon inamaanisha kundi hilo ni gumu.
Mabingwa watetezi, Mali walimiliki mpira kwa muda mrefu jana, lakini wakashindwa kuifunga Tanzania inayocheza mashindano ya ngazi hii kwa mara ya kwanza na mwishowe wakatoka sare ya 0-0.
Na baadaye Angola na Niger zikakutana katika mchezo mwingine mkali zaidi na wa kusisimua na kufungana mabao 2-2.
Wachezaji wa Tanzania wakiwasalimia wachezaji wa Mali kabla ya mchezo wa jana
Hii ni tofauti sana na mechi za Kundi A juzi, ambazo ‘mvua ya mabao’ ilishuhudiwa ikimiminika Uwanja wa Port Gentil.
Kwanza wenyeji Gabon walifungwa mabao 5-1 na Guinea kabla ya mabingwa mara mbili, Ghana kuitandika 4-0 Cameroon.
Leo ni mapumziko na michuano hiyo inatarajiwa kuendelea kesho kwa mechi za Kundi A, Guinea wakimenyana na Cameroon na Ghana wakipepetana na Gabon Uwanja wa Port Gentil.
Mechi za Kundi B zitarudi Alhamisi ya Mei 18, Tanzania wakianza na Angola kabla ya Mali kupepetana na Niger Uwanja wa l’Amitie Sino mjini Libreville.
Hatua ya makundi inatarajiwa kuhitimishwa Mei 20 na 21 mwaka huu, Kundi A Gabon wakimaliza na Cameroon na Guinea na Ghana Uwanja wa Port Gentil kabla ya siku inayofuata, Mali kuanza na Angola na baadaye Tanzania kumalizana na Niger.
Timu mbili za juu katika kila kundi pamoja na kwenda Nusu Fainali, pia zitajihakikishia tiketi ya kucheza Fainali za kombe la Dunia la U-17 Oktoba mwaka huu nchini India.
from BIN ZUBEIRY SPORTS- ONLINE http://ift.tt/2raZpB4
best mesothelioma law firms, mesothelioma attorneys, mesothelioma
lawyer, mesothelioma lawsuits, mesothelioma lawyers, mesothelioma
lawsuit, mesothelioma attorney, mesothelioma settlement, mesothelioma
lawsuit settlements, mesothelioma settlements, mesothelioma law firm,
lawyer mesothelioma, get a online mesothelioma law firm today,
mesothelioma claims, mesothelioma claim, malignant mesothelioma,
mesothelioma law, mesothelioma law firm california, mesothelioma
compensation, mesothelioma law firms, asbestos settlement, asbestos
claim, mesothelioma, asbestos lawsuit, asbestos lung cancer,
mesothelioma law suit, asbestos claims720, asbestos attorney,
mesothelioma lung cancer, mesothelioma causes, asbestos lawyer390,
mesothelioma cancer, asbestos lawsuits, asbestos lawyers, causes of
mesothelioma, asbestos cancer, mesothelioma law suits, what is
mesothelioma, law offices, mesothelioma symptoms
Terimakasih anda telah membaca artikel tentang KUNDI B LADHIHIRISHA KWELI NI LA KIFO AFCON U-17 AFRIKA. Jika ingin menduplikasi artikel ini diharapkan anda untuk mencantumkan link https://viralsport.blogspot.com/2017/05/kundi-b-ladhihirisha-kweli-ni-la-kifo.html. Terimakasih atas perhatiannya.