Na Mwandishi Wetu, DAR ES SALAAM
MBEYA City haitaki kuwa ngazi ya ubingwa kwa Yanga SC na imesema na Jumamosi ijayo patachimbika Uwanja wa Taifa, Dar es Salaam.
Akizungumza na Bin Zubeiry Sports – Online jana kwa simu kutoka Mbeya, Meneja wa Mbeya, Geoffrey Katepa alisema kwamba wamekuwa katika maandalizi mazuri kuelekea mchezo huo wa Ligi Kuu ya Vodacom Tanzania Bara.
Katepa alisema kwamba kikosi cha MCC kimerejea jana tu mjini Mbeya kutoka Sumbawanga, ambako kilikuwa kimeweka kambi ya siku tano iliyohusisha pia michezo minne ya kirafiki, ambayo walishinda yote.
“Tumerudi hapa Mbeya na tunaendelea na mazoezi makali kwa ajili ya maandalizi yetu ya mwisho mwisho kabla ya kwenda Dar es Salaam,”alisema Katepa, kiungo wa zamani wa Yanga.
Katepa amesema kwamba wanajiandaa vizuri ili wakaifunge Yanga mjini Dar es Salaam na kujenga heshima dhidi ya mabingwa hao watetezi.
“Sisi tunachotaka ni kuwafunga tu, haijalishi kama hatuwi mabigwa au hatushuki. Tunataka heshima tu, na kuwafunga mabingwa watetezi itakuwa heshima nzuri. Kikubwa sisi hatutaki kuwa ngazi ya ubingwa ya Yanga,”alisema.
Kabla ya kumenyana na MCC Jumamosi, kesho Yanga SC watateremka Uwanja wa Taifa, Dar es Salaam kumenyana na Kagera Sugar ya Bukoba katika mchezo mwingine wa Ligi Kuu ya Vodacom Tanzania Bara.
from BIN ZUBEIRY SPORTS- ONLINE http://ift.tt/2pqcaUs
best mesothelioma law firms, mesothelioma attorneys, mesothelioma
lawyer, mesothelioma lawsuits, mesothelioma lawyers, mesothelioma
lawsuit, mesothelioma attorney, mesothelioma settlement, mesothelioma
lawsuit settlements, mesothelioma settlements, mesothelioma law firm,
lawyer mesothelioma, get a online mesothelioma law firm today,
mesothelioma claims, mesothelioma claim, malignant mesothelioma,
mesothelioma law, mesothelioma law firm california, mesothelioma
compensation, mesothelioma law firms, asbestos settlement, asbestos
claim, mesothelioma, asbestos lawsuit, asbestos lung cancer,
mesothelioma law suit, asbestos claims720, asbestos attorney,
mesothelioma lung cancer, mesothelioma causes, asbestos lawyer390,
mesothelioma cancer, asbestos lawsuits, asbestos lawyers, causes of
mesothelioma, asbestos cancer, mesothelioma law suits, what is
mesothelioma, law offices, mesothelioma symptoms
Terimakasih anda telah membaca artikel tentang MBEYA CITY HAITAKI KUWA NGAZI YA UBINGWA YANGA. Jika ingin menduplikasi artikel ini diharapkan anda untuk mencantumkan link https://viralsport.blogspot.com/2017/05/mbeya-city-haitaki-kuwa-ngazi-ya.html. Terimakasih atas perhatiannya.