Winga wa Yanga, Simon Msuva akipatiwa huduma ya kwanza baada ya kuchanika juu ya jicho la kushoto wakati akiifungia timu yake bao la kwanza dakika ya saba katika ushindi wa 2-1 dhidi ya Mbeya City kwenye mchezo wa Ligi Kuu ya Vodacom Tanzania Bara leo Uwanja wa Taifa, Dar es Salaam
Hapa ndipo Msuva alipoumia wakati anapiga kichwa kufunga aligongana na beki wa Mbeya City, Tumba Lui Swedi
Wachezaji wa Yanga wakiwaita watu wa huduma ya kwanza kuja kumsaidia Simon Msuva baada ya kuanguka chini
Wachezaji wengine wa Yanga wakimsaidia Msuva, huku wengine wakiwaita watu wa huduma ya kwanza
Hapa Msuva anatolewa nje ya Uwanja, kabla ya kupelekwa kwenye zahanati ndogo ya Uwanja wa Taifa kwa matibabu zaidi
Alikuwa akipelekwa huku akifutwa damu kwenye jeraha lake
Hapa Msuva akiwa kwenye Zahanati ndogo ya Uwanja wa Taifa baada ya matibabu na kushonwa nyuzi nne kwenye jeraha lake
from BIN ZUBEIRY SPORTS- ONLINE http://ift.tt/2pJF4il
best mesothelioma law firms, mesothelioma attorneys, mesothelioma
lawyer, mesothelioma lawsuits, mesothelioma lawyers, mesothelioma
lawsuit, mesothelioma attorney, mesothelioma settlement, mesothelioma
lawsuit settlements, mesothelioma settlements, mesothelioma law firm,
lawyer mesothelioma, get a online mesothelioma law firm today,
mesothelioma claims, mesothelioma claim, malignant mesothelioma,
mesothelioma law, mesothelioma law firm california, mesothelioma
compensation, mesothelioma law firms, asbestos settlement, asbestos
claim, mesothelioma, asbestos lawsuit, asbestos lung cancer,
mesothelioma law suit, asbestos claims720, asbestos attorney,
mesothelioma lung cancer, mesothelioma causes, asbestos lawyer390,
mesothelioma cancer, asbestos lawsuits, asbestos lawyers, causes of
mesothelioma, asbestos cancer, mesothelioma law suits, what is
mesothelioma, law offices, mesothelioma symptoms