Na Mahmoud Zubeiry, DAR ES SALAAM
KIUNGO Jonas Gerald Mkude amesema anafurahia maisha Mtaa wa Msimbazi ndiyo maana ameongeza mkataba wa miaka miwili kuendelea kuichezea Simba SC.
Akizungumza na Bin Zubeiry Sports – Online leo, Mkude amesema kwamba anashukuru baada ya vikao mfululizo na uongozi wa Simba wamefanikiwa kufikia maafikiano, ambayo ni kuongeza mkataba wa miaka miwili.
“Ninashukuru baada ya vikao vikao na viongozi tumefanikiwa kufikia makubaliano mazuri. Nataka niwape habari nzuri wana Simba, nitaendelea kuwa nao kwa miaka mingine miwili,”amesema Mkude.
Jonas Mkude amesema anafurahia maisha Simba SC ndiyo maana ameongeza mkataba wa miaka miwili
Nahodha huyo wa Wekundu wa Msimbazi, amesema kwamba kuongeza mkataba Simba ni changamoto nyingine kwake, kwani anatakiwa kuendelea kudhihirisha ubora wake Msimbazi na kuisaidia timu.
Amesifu jitihada za uongozi kuboresha kikosi kwa kusajili wachezaji wazoefu na kuwapa mikataba mipya wachezaji waliopo ambao ama wanamaliza au wanakaribia kumaliza.
“Unapotaka kujenga timu kwanza lazima uwalinde wachezaji wako wazuri ulionao, na pili usajili wapya wanaohitajika kuja kuimarisha kikosi, ndiyo maana ninawapongeza viongozi,”amesema.
Mkude aliibukia kikosi cha pili cha Simba mwaka 2011 kabla ya kupandishwa kikosi cha kwanza mwaka 2012 na tangu mwaka 2013 amekuwa mchezaji muhimu wa kikosi cha kwanza cha Wekundu hao wa Msimbazi.
from BIN ZUBEIRY SPORTS- ONLINE http://ift.tt/2sh91tN
best mesothelioma law firms, mesothelioma attorneys, mesothelioma
lawyer, mesothelioma lawsuits, mesothelioma lawyers, mesothelioma
lawsuit, mesothelioma attorney, mesothelioma settlement, mesothelioma
lawsuit settlements, mesothelioma settlements, mesothelioma law firm,
lawyer mesothelioma, get a online mesothelioma law firm today,
mesothelioma claims, mesothelioma claim, malignant mesothelioma,
mesothelioma law, mesothelioma law firm california, mesothelioma
compensation, mesothelioma law firms, asbestos settlement, asbestos
claim, mesothelioma, asbestos lawsuit, asbestos lung cancer,
mesothelioma law suit, asbestos claims720, asbestos attorney,
mesothelioma lung cancer, mesothelioma causes, asbestos lawyer390,
mesothelioma cancer, asbestos lawsuits, asbestos lawyers, causes of
mesothelioma, asbestos cancer, mesothelioma law suits, what is
mesothelioma, law offices, mesothelioma symptoms
Terimakasih anda telah membaca artikel tentang JONAS MKUDE: NINAFURAHIA MAISHA SIMBA. Jika ingin menduplikasi artikel ini diharapkan anda untuk mencantumkan link https://viralsport.blogspot.com/2017/06/jonas-mkude-ninafurahia-maisha-simba.html. Terimakasih atas perhatiannya.