Na Prince Akbar, DAR ES SALAAM
KIUNGO wa kimataifa wa Rwanda, Haruna Hakizimana Fadhil Niyonzima, amesema yeye bado ni mchezaji wa Yanga na hajasaini kwa mahasimu Simba kama inavyovumishwa.
Akizungumza na Bin Zubeiry Sports – Online leo mchana, Niyonzima amesema kwamba anastaajabishwa na uvumi kwamba yeye amesaini Simba, wakati si kweli.
Pamoja na hayo, Niyonzima amekiri kufanya mazungumzo na viongozi wa Simba, lakini hajafikia hata makubaliano ya kusaini zaidi ya kuwasikiliza tu na ofa yao.
Haruna Niyonzima amesema yeye bado ni mchezaji wa Yanga na hajasaini kwa mahasimu Simba kama inavyovumishwa
“Nipo kwenye likizo, nimeelekeza fikra zangu kwenye mambo ya familia zaidi kwa kipindi hiki, pili mimi naamini kama ningekuwa nimesaini huko (Simba), au nimesaini huku (Yanga) kila mtu angejua, hivyo kwa sasa sijasaini timu yoyote,”amesema.
Haruna amesema kwa sasa anasikiliza ofa mbalimbali zinazoletwa kwake, kabla ya kuamua asaini wapi. “Mimi kama mfanyabiashara naweza nikaongea na timu yoyote, haya yanayoendelea sasa yataisha,”amesema.
Mzaliwa huyo wa Gisenyi, Rwanda Februari 5, mwaka 1990 alijiunga na Yanga SC mwaka 2011, akitokea APR ya Rwanda aliyoanza kuichezea mwaka 2007 baada ya kujiunga nayo kutoka Rayon Sport iliyomsajili mwaka 2006 kutoka Etincelles iliyomuibua kisoka nchini humo.
from BIN ZUBEIRY SPORTS- ONLINE http://ift.tt/2tG16UM
best mesothelioma law firms, mesothelioma attorneys, mesothelioma
lawyer, mesothelioma lawsuits, mesothelioma lawyers, mesothelioma
lawsuit, mesothelioma attorney, mesothelioma settlement, mesothelioma
lawsuit settlements, mesothelioma settlements, mesothelioma law firm,
lawyer mesothelioma, get a online mesothelioma law firm today,
mesothelioma claims, mesothelioma claim, malignant mesothelioma,
mesothelioma law, mesothelioma law firm california, mesothelioma
compensation, mesothelioma law firms, asbestos settlement, asbestos
claim, mesothelioma, asbestos lawsuit, asbestos lung cancer,
mesothelioma law suit, asbestos claims720, asbestos attorney,
mesothelioma lung cancer, mesothelioma causes, asbestos lawyer390,
mesothelioma cancer, asbestos lawsuits, asbestos lawyers, causes of
mesothelioma, asbestos cancer, mesothelioma law suits, what is
mesothelioma, law offices, mesothelioma symptoms
Terimakasih anda telah membaca artikel tentang NIYONZIMA: MIMI BADO MCHEZAJI WA YANGA, SIJASAINI SIMBA. Jika ingin menduplikasi artikel ini diharapkan anda untuk mencantumkan link https://viralsport.blogspot.com/2017/06/niyonzima-mimi-bado-mchezaji-wa-yanga.html. Terimakasih atas perhatiannya.