RAIS wa Real Madrid, Florentino Perez ameibuka na kuanza kumtetea Cristiano Ronaldo juu ya kashfa ya kukwepa kodi inayomkabili, mara tu baada ya kutoka kwa habari za mchezaji huyo kutakiwa na timu yake ya zamani, Manchester United.
Ronaldo amekuwa akihusishwa na mpango wa kuondoka Bernabeu - huku uwezekano ukiwa ni kurejea kwa Mashetani Wekundu - baada ya kupoteza furaha kutokana na kutopewa sapoti na Madrid juu ya kesi yake kukwepa kodi.
Nahodha huyo wa Ureno anatuhumiwa kuuza haki za picha zake kwa kampuni moja Uingereza na kukwepa kulipa kodi ya Pauni Milioni 13 Hispania. Perez amesema anamfahamu Ronaldo ni mstaarabu, ambaye hawezi kufanya hivyo.
Rais wa Real Madrid, Florentino Perez amemtetea Cristiano Ronaldo juu ya kashfa yake ya kukwepa kodi PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Amesema wamejiridhisha kwamba wakati wote Cristiano amekuwa akifanya mambo mema, kwa sababu namna alivyo.
"Wote tunatakiwa kutimiza wajibu wetu wa kulipa kodi zetu,' amesema Perez na kuongeza kwamba Ronaldo amekuwa akitumia kampuni ile ile aliyokuwa akiitumia England na hakuwa na tatizo huko. Amesema pia mchezaji huyo hakujaribu kuficha chochote.
Alipoulizwa kama zilikuwa mbinu za Ronaldo kutaka alipiwe faini na klabu ambayo inaweza kufika Euro Milioni 40, Perez akasema: "Swali halina maana kwa sababu hayuko hivyo, kama hayuko sawa, si kwa sababu hiyo. Sijazungumza naye tangu Cardif (Real ilipoifunga Juventus 4-1 katika fainali ya Ligi ya Mabingwa Ulaya). Amekuwa na mawasiliano nasi, hivyo ni mchezaji wa Madrid,".
Pamoja na hayo, Perez amesema hajazungumza na klabu yoyote juu ya uhamisho wa mchezaji yeyote hadi sasa, si Cristiano Ronaldo, ama Alvaro Morata, au James Rodriguez.
from BIN ZUBEIRY SPORTS- ONLINE http://ift.tt/2rxZ3BK
best mesothelioma law firms, mesothelioma attorneys, mesothelioma
lawyer, mesothelioma lawsuits, mesothelioma lawyers, mesothelioma
lawsuit, mesothelioma attorney, mesothelioma settlement, mesothelioma
lawsuit settlements, mesothelioma settlements, mesothelioma law firm,
lawyer mesothelioma, get a online mesothelioma law firm today,
mesothelioma claims, mesothelioma claim, malignant mesothelioma,
mesothelioma law, mesothelioma law firm california, mesothelioma
compensation, mesothelioma law firms, asbestos settlement, asbestos
claim, mesothelioma, asbestos lawsuit, asbestos lung cancer,
mesothelioma law suit, asbestos claims720, asbestos attorney,
mesothelioma lung cancer, mesothelioma causes, asbestos lawyer390,
mesothelioma cancer, asbestos lawsuits, asbestos lawyers, causes of
mesothelioma, asbestos cancer, mesothelioma law suits, what is
mesothelioma, law offices, mesothelioma symptoms
Terimakasih anda telah membaca artikel tentang PEREZ AANZA MKAKATI WA KUMBAKIZA RONALDO REAL MADRID. Jika ingin menduplikasi artikel ini diharapkan anda untuk mencantumkan link https://viralsport.blogspot.com/2017/06/perez-aanza-mkakati-wa-kumbakiza.html. Terimakasih atas perhatiannya.