Na Mahmoud Zubeiry, DAR ES SALAAM
SIMBA SC imeanza kuimarisha kikosi chake kelekea msimu ujao wa Kombe la Shirikisho la Afrika, baada ya leo kukamilisha usajili wa walinzi wawili kutoka Mwanza.
Hao ni beki wa kushoto, Jamal Mwambeleko kutoka Mbao FC na beki wa kati Yussuf Mlipili kutoka Toto Africans, zote za Mwanza.
Makamu wa Rais wa Simba SC, Geoffrey Nyange ‘Kaburu’ ameiambia Bin Zubeiry Sports – Online leo kwamba, Mlipili amesaini miaka mitatu na Mwambeleko amesaini miaka miwili.
Kifaa kipya; Makamu wa Rais, Geoffrey Nyange 'Kaburu' (kushoto) akisaini mkataba na beki Yussuf Mlipili (kulia) leo mjini Dar es Salaam
Anarudi nyumbani; Kaburu (kushoto) akisaini mikataba na beki Jamal Mwambeleko (kulia) ambaye amewahi kuchezea Simba B
Amesema Mlipili anatua kwa mara ya kwanza kabisa Simba SC, wakati Mwambeleko amewahi kuchezea timu ya vijana ya Wekundu hao wa Msimbazi.
Na Kaburu ambaye anafahamika kwa jina la utani Perez, akifananishwa na Rais wa Real Madrid, Frorentino Perez amesema baada ya kukamilisha usajili wa wawili hao, wapenzi wa Simba wakae mkao wa kula kwa taarifa za kuvutia zaidi kuhusu usaili wa timu yao.
“Kwa ujumla nina wachezaji sita ambao wamekwishakamilisha usajili wao hapa Simba, lakini nitakuwa nachomoa mmoja mmoja namtambukisha,”amesema.
Mlipili na Mwambeleko wote waliichezea Simba SC kwa mara ya kwanza juzi ikitolewa kwa penalti 5-4 na Nakuru All Stars ya Kenya kwenye michuano ya SportPesa SuperCup baada ya sare ya 0-0 ndani ya dakika 90.
from BIN ZUBEIRY SPORTS- ONLINE http://ift.tt/2sjrsyY
best mesothelioma law firms, mesothelioma attorneys, mesothelioma
lawyer, mesothelioma lawsuits, mesothelioma lawyers, mesothelioma
lawsuit, mesothelioma attorney, mesothelioma settlement, mesothelioma
lawsuit settlements, mesothelioma settlements, mesothelioma law firm,
lawyer mesothelioma, get a online mesothelioma law firm today,
mesothelioma claims, mesothelioma claim, malignant mesothelioma,
mesothelioma law, mesothelioma law firm california, mesothelioma
compensation, mesothelioma law firms, asbestos settlement, asbestos
claim, mesothelioma, asbestos lawsuit, asbestos lung cancer,
mesothelioma law suit, asbestos claims720, asbestos attorney,
mesothelioma lung cancer, mesothelioma causes, asbestos lawyer390,
mesothelioma cancer, asbestos lawsuits, asbestos lawyers, causes of
mesothelioma, asbestos cancer, mesothelioma law suits, what is
mesothelioma, law offices, mesothelioma symptoms
Terimakasih anda telah membaca artikel tentang SIMBA YAANZA KUFURU, YASAJILI WAWILI WA MWANZA. Jika ingin menduplikasi artikel ini diharapkan anda untuk mencantumkan link https://viralsport.blogspot.com/2017/06/simba-yaanza-kufuru-yasajili-wawili-wa.html. Terimakasih atas perhatiannya.