Na Mwandishi Wetu, DAR ES SALAAM
KIKOSI cha Klabu Bingwa ya Afrika Mashariki na Kati, Azam FC, tayari kimetua nchini Uganda kwa kambi ya siku 10 ya maandalizi ya msimu ujao utakaoanza Agosti 26 mwaka huu.
Kambi hiyo ni maalumu kabisa kwa ajili ya kucheza mechi nne kali za ushindani, dhidi ya KCCA, URA, SC Villa na Vipers, zitakazotumika kuwajenga wachezaji wa timu hiyo kabla ya mikikimikiki ya ligi kuanza.
Msafara wa Azam FC ulioongozwa na Meneja Phillip Alando, unaundwa wachezaji 26 na makipa Mwadini Ally, Razak Abalora, Benedict Haule, Mabeki ni Nahodha Msaidizi Aggrey Morris, David Mwantika, Yakubu Mohammed, Daniel Amoah, Abdallah Kheri, Swaleh Abdallah, Bruce Kangwa, Hamimu Abdul.
Viungo ni Nahodha Himid Mao ‘Ninja’, Salum Abubakar ‘Sure Boy’, Frank Domayo ‘Chumvi’, Stephan Kingue, Salmin Hoza, Bryson Raphael, Masoud Abdallah ‘Cabaye’, mawinga Joseph Mahundi, Enock Atta, Idd Kipagwile, Joseph Kimwaga na washambuliaji Yahaya Mohammed, Mbaraka Yusuph, Wazir Junior, Yahya Zayd.
Kikosi hicho kimefikia kwenye Hoteli ya Top Five, iliyopo Ntinda, jijini Kampala, Uganda, ambapo muda si mrefu benchi la ufundi linatarajia kutoa programu kamili hadi mwisho wa ziara hiyo itakayomalizika Agosti 15 mwaka huu.
from BIN ZUBEIRY SPORTS- ONLINE http://ift.tt/2wjF4tl
best mesothelioma law firms, mesothelioma attorneys, mesothelioma
lawyer, mesothelioma lawsuits, mesothelioma lawyers, mesothelioma
lawsuit, mesothelioma attorney, mesothelioma settlement, mesothelioma
lawsuit settlements, mesothelioma settlements, mesothelioma law firm,
lawyer mesothelioma, get a online mesothelioma law firm today,
mesothelioma claims, mesothelioma claim, malignant mesothelioma,
mesothelioma law, mesothelioma law firm california, mesothelioma
compensation, mesothelioma law firms, asbestos settlement, asbestos
claim, mesothelioma, asbestos lawsuit, asbestos lung cancer,
mesothelioma law suit, asbestos claims720, asbestos attorney,
mesothelioma lung cancer, mesothelioma causes, asbestos lawyer390,
mesothelioma cancer, asbestos lawsuits, asbestos lawyers, causes of
mesothelioma, asbestos cancer, mesothelioma law suits, what is
mesothelioma, law offices, mesothelioma symptoms
Terimakasih anda telah membaca artikel tentang AZAM FC WATUA UGANDA KUKAMILISHA MAANDALIZI YA LIGI KUU. Jika ingin menduplikasi artikel ini diharapkan anda untuk mencantumkan link https://viralsport.blogspot.com/2017/08/azam-fc-watua-uganda-kukamilisha.html. Terimakasih atas perhatiannya.