TIMU ya Burkina Faso imeichapa mabao Ghana mabao 2-1 Jumapili na kufuzu Michuano ya Ubingwa wa Mataifa ya Afrika (CHAN), inayohusisha timu zinazocheza Ligi za nchini mwao pekee.
Ghana, walioshika nafasi ya pili mara mbili katika fainali nne zilizopita za michuano hiyo, waliongoza mara mbili nchini Burkina Faso wikiendi iliyopita kabla ya kufungwa bao la dakika za mwishoni na kumaliza kwa sare ya 2-2 kwenye mchezo wa kwanza.
Faida ya kucheza nyumbani mjini Kumasi – nyumbani kwa klabu maarufu nchini humo, Asante Kotoko – ilitarajiwa kuibeba Ghana na kufuzu kwenye fainali hizo kwa mara ya nne.
Lakini wenyeji waliduwazwa na Burkinabe walionufaika na mabao ya Mohammed Sylla na Herman Nikiema ndani ya dakika 30 Uwanja wa Baba Yaro. Felix Addo alifunga bao la kufutia machozi la Ghana.
Burkina Faso imefuzu kwa ushindi wa jumla wa 4-3 na itaungana na nchi nyingine 15 kwenye michuano hiyo itakayofanyika Kenya kuanzia Januari 12 hadi Februari 4.
Nchi zilizofuzu hadi sasa ni wenyeji Kenya, Angola, Cameroon, Kongo, Ivory Coast, Equatorial Guinea, Libya, Morocco, Nigeria, Sudan, Zambia na Namibia.
from BIN ZUBEIRY SPORTS- ONLINE http://ift.tt/2vfrR2W
best mesothelioma law firms, mesothelioma attorneys, mesothelioma
lawyer, mesothelioma lawsuits, mesothelioma lawyers, mesothelioma
lawsuit, mesothelioma attorney, mesothelioma settlement, mesothelioma
lawsuit settlements, mesothelioma settlements, mesothelioma law firm,
lawyer mesothelioma, get a online mesothelioma law firm today,
mesothelioma claims, mesothelioma claim, malignant mesothelioma,
mesothelioma law, mesothelioma law firm california, mesothelioma
compensation, mesothelioma law firms, asbestos settlement, asbestos
claim, mesothelioma, asbestos lawsuit, asbestos lung cancer,
mesothelioma law suit, asbestos claims720, asbestos attorney,
mesothelioma lung cancer, mesothelioma causes, asbestos lawyer390,
mesothelioma cancer, asbestos lawsuits, asbestos lawyers, causes of
mesothelioma, asbestos cancer, mesothelioma law suits, what is
mesothelioma, law offices, mesothelioma symptoms
Terimakasih anda telah membaca artikel tentang BURKINA FASO YAITUPA NJE GHANA CHAN 2018 KENYA. Jika ingin menduplikasi artikel ini diharapkan anda untuk mencantumkan link https://viralsport.blogspot.com/2017/08/burkina-faso-yaitupa-nje-ghana-chan.html. Terimakasih atas perhatiannya.