Na Mwandishi Wetu, ZANZIBAR
SIMBA SC imeibuka na ushindi wa mabao 5-0 dhidi ya Gulioni FC katika mchezo wa kirafiki usiku huu Uwanja wa Amaan, Zanzibar.
Katika mchezo huo maalum wa kujiandaa na mechi ya Ngao ya Jamii dhidi ya mahasimu, Yanga Jumatano Uwanja wa Taifa, Dar es Salaam – Simba waliizidi kila idara Gulioni inayocheza Daraja la Kwanza visiwani Zanzibar.
Mshambuliaji Mrundi, Laudit Mavugo alikuwa kwenye kiwango kizuri leo na amefunga mabao mawili dakika za 13 na 40, wakati mabao mengine yamefungwa na wachezaji wa zamani wa Mtibwa Sugar, Shiza Kichuya dakika ya 37, Juma Luizio dakika ya 41 na Mohammed Ibrahim ‘Mo’ dakika ya 67.
Laudit Mavugo amefunga mabao mawili Simba ikishinda 5-0 leo dhidi ya Gulioni FC
Huo ni mchezo wa pili kwa Simba katika kambi yake ya Unguja kujiandaa na mchezo dhidi ya Yanga, baada ya Alhamisi kulazimishwa sare ya 0-0 na Mlandege ya Ligi Kuu Zanzibar.
Watani wao wa jadi, Yanga wapo Pemba pia kwa maandalizi ya mchezo huo na kesho nao watacheza mechi ya pili visiwani humo, watakapomenyana na Jamhuri Uwanja wa Gombani, Pemba baada ya Jumapili ya wiki iliyopita kushinda 2-0 dhidi ya Mlandege Uwanja wa Amaan, Zanzibar.
Kikosi cha Gulioni FC kilikuwa; Haji Yussuf, Ibrahim Hamisi, Shaaban Hassan, Mohammed Omar, Nuhu Ally, Ulele Uledi, Hamad Kawamba, Ally Mbaraka, Ally Amour, Ally J Kipanga na Fahim Khalfan.
Simba SC; Aishi Manula/EmManuel Mseja, Erasto Nyoni, Ally Shomary/Mohammed Hussein ‘Thshabalala’, Salim Mbonde, Method Mwanjali/Paul Bundala, James Kotei/Jonas Mkude, Haruna Niyonzima/Mwinyi Kazimoto, Muzamil Yassin/Said Ndemla, Laudit Mavugo/Mohammed ‘Mo’ Ibrahim, Juma Luizio na Shiza Kichuya/Jamal Mnyate.
from BIN ZUBEIRY SPORTS- ONLINE http://ift.tt/2vSGLxN
best mesothelioma law firms, mesothelioma attorneys, mesothelioma
lawyer, mesothelioma lawsuits, mesothelioma lawyers, mesothelioma
lawsuit, mesothelioma attorney, mesothelioma settlement, mesothelioma
lawsuit settlements, mesothelioma settlements, mesothelioma law firm,
lawyer mesothelioma, get a online mesothelioma law firm today,
mesothelioma claims, mesothelioma claim, malignant mesothelioma,
mesothelioma law, mesothelioma law firm california, mesothelioma
compensation, mesothelioma law firms, asbestos settlement, asbestos
claim, mesothelioma, asbestos lawsuit, asbestos lung cancer,
mesothelioma law suit, asbestos claims720, asbestos attorney,
mesothelioma lung cancer, mesothelioma causes, asbestos lawyer390,
mesothelioma cancer, asbestos lawsuits, asbestos lawyers, causes of
mesothelioma, asbestos cancer, mesothelioma law suits, what is
mesothelioma, law offices, mesothelioma symptoms
Terimakasih anda telah membaca artikel tentang MAVUGO APIGA MBILI, SIMBA YAITANDIKA 5-0 GULIONI FC. Jika ingin menduplikasi artikel ini diharapkan anda untuk mencantumkan link https://viralsport.blogspot.com/2017/08/mavugo-apiga-mbili-simba-yaitandika-5-0.html. Terimakasih atas perhatiannya.