MSHAMBULIAJI Cristiano Ronaldo amesema anataka kuondoka Real Madrid na kurejea England, sikua chache tu kabla ya kumenyana na timu yake, Manchester United katika mechi ya UEFA Super Cup.
Radio Cadena Ser ya Hispania imesema kwamba Ronaldo aliyasema katika mazungumzo yake na Jaji nje ya Mahakama ya Madrid katika mfulululizo wa uchunguzi wa kesi yake kukwepa kodi kiais cha Euro14.7.
Mchezaji huyo alikuwa ana mazungumzo binafsi na Jaji Monica Gomez Ferrer Jumatatu wiki hii ambayo si kawaida kuvuja kwenye kwenye vyombo vya Habari kama si kutolewa na wahusika wenyewe.
Cristiano Ronaldo anataka kurejea England ambako hajawahi kupata matatizo ya kodi
Cadena Ser iliripoti Ijumaa kwamba Ronaldo alimuambia Jaji: "Sijawahi kupata matatizo ya kodi England…ndiyo maana ningependa kurudi England,".
from BIN ZUBEIRY SPORTS- ONLINE http://ift.tt/2wgkR7A
best mesothelioma law firms, mesothelioma attorneys, mesothelioma
lawyer, mesothelioma lawsuits, mesothelioma lawyers, mesothelioma
lawsuit, mesothelioma attorney, mesothelioma settlement, mesothelioma
lawsuit settlements, mesothelioma settlements, mesothelioma law firm,
lawyer mesothelioma, get a online mesothelioma law firm today,
mesothelioma claims, mesothelioma claim, malignant mesothelioma,
mesothelioma law, mesothelioma law firm california, mesothelioma
compensation, mesothelioma law firms, asbestos settlement, asbestos
claim, mesothelioma, asbestos lawsuit, asbestos lung cancer,
mesothelioma law suit, asbestos claims720, asbestos attorney,
mesothelioma lung cancer, mesothelioma causes, asbestos lawyer390,
mesothelioma cancer, asbestos lawsuits, asbestos lawyers, causes of
mesothelioma, asbestos cancer, mesothelioma law suits, what is
mesothelioma, law offices, mesothelioma symptoms