Na Rehema Lucas, DAR ES SALAAM
KIKOSI cha Simba SC kinatarajiwa kurejea nchini kesho mchana baada ya kambi ya takriban wiki mbili nchini Afrika Kusini kujiandaa na msimu mpya wa Ligi Kuu ya Vodacom Tanzania Bara.
Simba inatarajiwa kuwasili nchini kwa makundi mawili, kundi la kwanza likifika Saa 7:00 mchana na la pili Saa 7:00 kutokana na kukosekana ndege ya kuuchukua msafara wote kwa pamoja.
Simba SC ambayo Agosti 8, itamenyana na mabingwa wa Rwanda, Rayon Sport Uwanja wa Taifa, Dar es Salaam katika kilele cha tamasha la Simba Day, pamoja na mazoezi, nchini Afrika licheza pia mechi mbili za kujipima nguvu.
Mechi ya kwanza walifungwa 1-0 na Orlando Pirates kabla ya kulazimisha sare ya 1-1 na mabingwa wa Ligi Kuu ya ABSA Afrika Kudini, Bidvest Wits.
Akizungumza na Bin Zubeiry Sports – online leo, Ofisa Habari ya klabu hiyo, Hajji Sunday Manara amesema kwamba kikosi kinarejea kikiwa kimeiva na kipo tayari kabisa kwa msimu mpya.
“Wchezaji wetu wapo fiti kwa mazoezi waliyoyafanya Afrika Kusini walipokwenda kuweka kambi na tumejiandaa vizuri kwenye kuelekea mchezo wa kirafiki wa kimataifa dhidi ya Rayon Agosti 8 na kikosi kinatarajiwa kutua kesho majira ya saa saba mchana na wengine watatua saa saba usiku,”alisema Manara.
Pamoja na hayo, Manara ametaja pia viingilio katika mchezo wa Agosti 8 kuwa ni Sh.30,000 kwa VIP A, 20,000 kwa VIP B, 15,000 VIP C na 5,000 kwa mzunguko.
from BIN ZUBEIRY SPORTS- ONLINE http://ift.tt/2voZ3sZ
best mesothelioma law firms, mesothelioma attorneys, mesothelioma
lawyer, mesothelioma lawsuits, mesothelioma lawyers, mesothelioma
lawsuit, mesothelioma attorney, mesothelioma settlement, mesothelioma
lawsuit settlements, mesothelioma settlements, mesothelioma law firm,
lawyer mesothelioma, get a online mesothelioma law firm today,
mesothelioma claims, mesothelioma claim, malignant mesothelioma,
mesothelioma law, mesothelioma law firm california, mesothelioma
compensation, mesothelioma law firms, asbestos settlement, asbestos
claim, mesothelioma, asbestos lawsuit, asbestos lung cancer,
mesothelioma law suit, asbestos claims720, asbestos attorney,
mesothelioma lung cancer, mesothelioma causes, asbestos lawyer390,
mesothelioma cancer, asbestos lawsuits, asbestos lawyers, causes of
mesothelioma, asbestos cancer, mesothelioma law suits, what is
mesothelioma, law offices, mesothelioma symptoms
Terimakasih anda telah membaca artikel tentang SIMBA SC KUREJEA KESHO DAR KWA MAFUNGU. Jika ingin menduplikasi artikel ini diharapkan anda untuk mencantumkan link https://viralsport.blogspot.com/2017/08/simba-sc-kurejea-kesho-dar-kwa-mafungu.html. Terimakasih atas perhatiannya.