TIMU ya El Masry imeanza vyema Kombe la Shirikisho Afrika baada ya ushindi wa 4-0 dhidi ya Green Buffaloes ya Zambia kwenye mchezo wa kwanza wa Raundi ya Kwanza juzi mjini Cairo.
Masry, inayofundishwa na gwiji wa Misri, Hossam Hassan juzi ilicheza katika Uwanja wake wa nyumbani, Port Said kwa mara ya kwanza baada ya miaka mitano ya kucheza ugenini kufuatia kufungiwa kwa sababu ya vurugu mwaka 2012.
Ikumbukwe, Masry wakivuka raundi hii watakutana na mshindi wa jumla kati ya Simba ya Tanzania na Gendarmerie Tnare ya Djibouti. Simba nayo jana ilishinda 4-0 kwenye mchezo wa kwanza Dar es Salaam.
Mabao ya Masry yalifungwa na Islam Salah dakika ya 14, nyota wawili kutoka Burkina Faso Aristide Bance dakika ya 40 na Mohamed Koffi dakika ya 52 na Islam Issa dakika tisa kabla ya filimbi ya mwisho.
Masry sasa watasafiri kuwafuata Green Buffaloes kwenda kuulinda ushindi wao huo kwenye mchezo wa marudiano Februari 20.
MATOKEO YA MECHI ZOTE ZA KWANZA KOMBE LA SHIRIKISHO
Ijumaa Februari 9, 2018
Djoliba (Mali) vs ELWA United (Liberia)*
Onze Createurs (Mali) 1-1 CR Belouizdad (Algeria)
Jumamosi Februari 10, 2018
Petro Atletico (Angola) 5-0 Masters Security (Malawi)
Young Buffaloes (Swaziland) 0-1 Cape Town City (Afrika Kusini)
Costa do Sol (Msumbiji) 1-0 Jwaneng (Botswana)
Energie (Benin) 1-0 Hafia (Guinea)
Ngazi Sport (Comoro) 1-1 Port Louis (Mauritius)
Mangasport (Gabon) 0-1 Maniema Union (DRC)
Olympic Star (Burundi) 0-0 Etoile Filante (Burkina Faso)
New Stars (Cameroon) 2-1 Deportivo Niefang (Equatorial Guinea)
Tanda (Ivory Coast) 0-0 CS la Mancha (Kongo)
Al Ittihad (Libya) 1-0 Sahel (Niger)
El Masry (Misri) 4-0 Green Buffaloes (Zambia)
US Ben Guerdane (Tunisia) vs Hilal Juba (Sudan Kusini)**
Jumapili February 11, 2018
APR (Rwanda) 4-0 Anse Reunion (Shelisheli)
Akwa United (Nigeria) 1-2 Hawks (Gambia)
Asante Kotoko (Ghana) 1-0 CARA (Kongo)
AFC Leopards (Kenya) 1-1 FOSA Juniors (Madagascar)
Simba (Tanzania) 4-0 Gendarmerie (Djibouti)
RS Berkane (Morocco) 2-1 Mbour Petite Cote (Senegal)
Africa Sports (Ivory Coast) 1-1 FC Nouadhibou (Mauritania)
Zimamoto (Zanzibar) 1-1 Wolaitta Dicha (Ethiopia)
*ELWA United imejitoa na US Ben Guerdane imepewa ushindi wa 3-0 baada ya Hilal Juba ya Sudan Kusini kutotokea uwanjani
from BIN ZUBEIRY SPORTS - ONLINE http://ift.tt/2Ceanao
best mesothelioma law firms, mesothelioma attorneys, mesothelioma
lawyer, mesothelioma lawsuits, mesothelioma lawyers, mesothelioma
lawsuit, mesothelioma attorney, mesothelioma settlement, mesothelioma
lawsuit settlements, mesothelioma settlements, mesothelioma law firm,
lawyer mesothelioma, get a online mesothelioma law firm today,
mesothelioma claims, mesothelioma claim, malignant mesothelioma,
mesothelioma law, mesothelioma law firm california, mesothelioma
compensation, mesothelioma law firms, asbestos settlement, asbestos
claim, mesothelioma, asbestos lawsuit, asbestos lung cancer,
mesothelioma law suit, asbestos claims720, asbestos attorney,
mesothelioma lung cancer, mesothelioma causes, asbestos lawyer390,
mesothelioma cancer, asbestos lawsuits, asbestos lawyers, causes of
mesothelioma, asbestos cancer, mesothelioma law suits, what is
mesothelioma, law offices, mesothelioma symptoms