KOCHA Luis Enrique anaonekana yuko tayari kuchukua nafasi ya Antonio Conte klabu ya Chelsea huku taarifa nchini Hispania zikisema kwamba kocha huyo wa zamani wa Barcelona tayari amekubaliana na timu hiyo ya London.
Nafasi ya Conte kubaki The Blues ni finyu baada ya vipigo mfululizo vya 3-0 nyumbani mbele ya Bournemouth na baada kupigwa 4-1 na Watford Jumatatu.
Na kutokana na Chelsea kujiweka kwenye mazingira magumu ya kumaliza kwenye nafas nne za juu, mmiliki Roman Abramovich anaweza kulazimisha hatua ichukuliwe mara moja.
Na taarifa zinasema anaweza kumpa kocha huyo mwenye umri wa miaka 47 mkataba wa ambao utamalizika mwaka 2020.
Enrique, ambaye pia amewahi kufundisha Roma na Celta Vigo, yuko huru baada ya kuondoka Barcelona msimu uliopita, wakati alipokuwa Nou Camp aliiongoza Barca kutwaa mataji mawili ya La Liga, matatu ya Copa del Rey triumphs and glory in the 2015 Champions League final.
Mechi ya kwanza yla Enrique baada Februari 20, kabla ya kusafiri hadi Katalunia Machi 14 kwa mchezo wa marudiani.
from BIN ZUBEIRY SPORTS - ONLINE http://ift.tt/2sh80nC
best mesothelioma law firms, mesothelioma attorneys, mesothelioma
lawyer, mesothelioma lawsuits, mesothelioma lawyers, mesothelioma
lawsuit, mesothelioma attorney, mesothelioma settlement, mesothelioma
lawsuit settlements, mesothelioma settlements, mesothelioma law firm,
lawyer mesothelioma, get a online mesothelioma law firm today,
mesothelioma claims, mesothelioma claim, malignant mesothelioma,
mesothelioma law, mesothelioma law firm california, mesothelioma
compensation, mesothelioma law firms, asbestos settlement, asbestos
claim, mesothelioma, asbestos lawsuit, asbestos lung cancer,
mesothelioma law suit, asbestos claims720, asbestos attorney,
mesothelioma lung cancer, mesothelioma causes, asbestos lawyer390,
mesothelioma cancer, asbestos lawsuits, asbestos lawyers, causes of
mesothelioma, asbestos cancer, mesothelioma law suits, what is
mesothelioma, law offices, mesothelioma symptoms
Terimakasih anda telah membaca artikel tentang LUIS ENRIQUE AKARIBIA KUCHUKUA NAFASI YA CONTE CHELSEA. Jika ingin menduplikasi artikel ini diharapkan anda untuk mencantumkan link https://viralsport.blogspot.com/2018/02/luis-enrique-akaribia-kuchukua-nafasi.html. Terimakasih atas perhatiannya.