Na Mwandishi Wetu, EL JADIDA
WINGA wa kimataifa wa Tanzania, Simon Happygod Msuva usiku wa jana amefunga mabao matatu, timu yake, Difaa Hassan El Jadida iksihinda 10-0 dhidi ya Benfica ya Guinea Bissau katika mchezo wa kwanza wa Raundi ya Kwanza Ligi ya Mabingwa Afrika Uwanja wa Ben Ahmed El Abdi mjini El Jadida, Mazghan nchini Morocco.
Msuva aliye katikaa msimu wake wa kwanza klabu hiyo baada ya kujiunga nayo kutoka kwa mabingwa wa Tanzania, Yanga SC alifunga mabao yake katika dakika za 44, 72 na 88.
Mabao mengine ya Difaa Hassan El Jadida yalifungwa na Bakary N'diaye dakika ya nne, Hamid Ahadad dakika za 23, 26, 37, 42 na 47 na Bilal El Magri dakika ya 54.
Sasa akina Msuva watakwenda ugenini Guinea Buissau katika mchezo mwepesi kabisa baada ya ushinsi huo mnono wa nyumbani.
from BIN ZUBEIRY SPORTS - ONLINE http://ift.tt/2ERJJXT
best mesothelioma law firms, mesothelioma attorneys, mesothelioma
lawyer, mesothelioma lawsuits, mesothelioma lawyers, mesothelioma
lawsuit, mesothelioma attorney, mesothelioma settlement, mesothelioma
lawsuit settlements, mesothelioma settlements, mesothelioma law firm,
lawyer mesothelioma, get a online mesothelioma law firm today,
mesothelioma claims, mesothelioma claim, malignant mesothelioma,
mesothelioma law, mesothelioma law firm california, mesothelioma
compensation, mesothelioma law firms, asbestos settlement, asbestos
claim, mesothelioma, asbestos lawsuit, asbestos lung cancer,
mesothelioma law suit, asbestos claims720, asbestos attorney,
mesothelioma lung cancer, mesothelioma causes, asbestos lawyer390,
mesothelioma cancer, asbestos lawsuits, asbestos lawyers, causes of
mesothelioma, asbestos cancer, mesothelioma law suits, what is
mesothelioma, law offices, mesothelioma symptoms
Terimakasih anda telah membaca artikel tentang MSUVA APIGA HAT TRICK, DIFAA YASHINDA 10-0 LIGI YA MABINGWA. Jika ingin menduplikasi artikel ini diharapkan anda untuk mencantumkan link https://viralsport.blogspot.com/2018/02/msuva-apiga-hat-trick-difaa-yashinda-10.html. Terimakasih atas perhatiannya.