Mark Kitching wa Rochdale akiruka juu kuondosha mpira kwa kichwa kwenye boksi la penalti la timu yake hiyo ya Daraja la Kwanza katika mchezo wa hatua ya 16 Bora Kombe la FA England uliomalizika kwa sare ya 2-2 leo Uwanja wa Crown Oil Arena mjini Rochdale, Greater Manchester. Mabao ya Rochdale yalifungwa na Ian Henderson dakika ya 49 na Steve Davies dakika ya 90 ma ushei, wakati ya Spurs yalifungwa na Lucas Moura dakika ya 59 na Harry Kane kwa penalti dakika ya 88. Timu hizo sasa zitarudiana Uwanja wa Wembley kutafuta nafasi ya kwenda Robo Fainali, ambako watakutana na mshindi kati ya Sheffield Wednesday au Swansea mwezi ujao PICHA ZAIDI GONGA HAPA
from BIN ZUBEIRY SPORTS - ONLINE http://ift.tt/2HotUJc
best mesothelioma law firms, mesothelioma attorneys, mesothelioma
lawyer, mesothelioma lawsuits, mesothelioma lawyers, mesothelioma
lawsuit, mesothelioma attorney, mesothelioma settlement, mesothelioma
lawsuit settlements, mesothelioma settlements, mesothelioma law firm,
lawyer mesothelioma, get a online mesothelioma law firm today,
mesothelioma claims, mesothelioma claim, malignant mesothelioma,
mesothelioma law, mesothelioma law firm california, mesothelioma
compensation, mesothelioma law firms, asbestos settlement, asbestos
claim, mesothelioma, asbestos lawsuit, asbestos lung cancer,
mesothelioma law suit, asbestos claims720, asbestos attorney,
mesothelioma lung cancer, mesothelioma causes, asbestos lawyer390,
mesothelioma cancer, asbestos lawsuits, asbestos lawyers, causes of
mesothelioma, asbestos cancer, mesothelioma law suits, what is
mesothelioma, law offices, mesothelioma symptoms
Terimakasih anda telah membaca artikel tentang ROCHDALE YAICHOMOLEA SPURS DAKIKA YA MWISHO, SARE 2-2 FA. Jika ingin menduplikasi artikel ini diharapkan anda untuk mencantumkan link https://viralsport.blogspot.com/2018/02/rochdale-yaichomolea-spurs-dakika-ya.html. Terimakasih atas perhatiannya.