Na Mwandishi Wetu, DFAR ES SALAAM
MABINGWA watetezi wa Ligi Kuu ya Vodacom Tanzania Bara, Yanga SC leo wanateremka Uwanja wa Uhuru mjini Dar es Salaam kumenyana na Njombe Mji FC katika mfululizo wa ligi hiyo.
Ikiwa ni siku mbili tu tangu wacheze ugenini, Uwanja wa Samora mjini Iringa na kuibuka na ushindi wa mabao 2-0 dhidi ya wenyeji, Lipuli – Yanga leo wanacheza tena.
Pamoja na ukweli kwamba wamekuwa na ratiba iliyowabana kucheza mechi mbili ndani ya siku ya nne tena mikoa tofauti, lakini Yanga hawajalalamika na wamejipanga kwa changamoto hiyo.
Katika mchezo wa leo, Yanga inaweza kuendelea kumkosa kipa wake namba moja, Youthe Rostand ambaye ni majeruhi.
Rostand alicheza kwa dakika 15 tu Jumamosi mjini Iringa kabla ya kuumia na kushindwa kuendelea na mchezo nafasi yake ikichukuliwa na kipa wa tatu, chipukizi Ramadhani Awam Kabwili aliyekwenda kumalizia vizuri.
Ikumbukwe Yanga pia kwa sasa inamkosa kipa wake wa pili, Benno Kakolanya ambaye alikuwa majeruhi, ingawa kwa wiki ya pili sasa taarifa za klabu zinasema amepona.
Michezo miwili iliyopita, dhidi ya Ihefu Kombe la Azam Sports Federation (ASFC) mjini Mbeya na dhidi ya Lipuli, Yanga ilimkosa kiungo wake mshambuliaji mahiri, Ibrahim Ajib Migomba aliyeumia katika mechi dhidi ya Azam FC wiki mbili zilizopita.
Lakini kwa Yanga ya sasa chini ya kocha Mzambia, George Lwandamina kumekuwa hakuna mchezaji tegemeo katika timu anaweza kucheza yeyote na timu ikavuna matokeo mazuri.
Habari njema zaidi ni kwamba mshambuliaji anayejituma zaidi katika timu, Obrey Chirwa yuko fiti kwa asilimia 100 na leo anatarajiwa kuendelea kuonyesha umuhimu wake katika klabu.
Mechi zaidi za Ligi Kuu zinatarajiwa kuchezwa kesho; vinara Simba SC wakiwakaribisha Azam FC Uwanja wa Uhuru pia, Mbao FC na Singida United Uwanja wa CCM Kirumba mjini Mwanza, Mwadui FC na Mtibwa Sugar Uwanja wa Mwadui Complex, Stand United na Lipuli FC Uwanja wa Kambarage mjini Shinyanga, Maji Maji na Tanzania Prisons Uwanja wa Maji Maji Songea na Ndanda FC na Mbeya City Uwanja wa Nangwanda Sijaona mjini Mtwara.
Kesho kutakuwa na mchezo mmoja wa Ligi Kuu kati ya wenyeji, Ruvu Shooting na Kagera Sugar Uwanja wa Mabatini Mlandizi mkoani Pwani.
from BIN ZUBEIRY SPORTS - ONLINE http://ift.tt/2FRFE5A
best mesothelioma law firms, mesothelioma attorneys, mesothelioma
lawyer, mesothelioma lawsuits, mesothelioma lawyers, mesothelioma
lawsuit, mesothelioma attorney, mesothelioma settlement, mesothelioma
lawsuit settlements, mesothelioma settlements, mesothelioma law firm,
lawyer mesothelioma, get a online mesothelioma law firm today,
mesothelioma claims, mesothelioma claim, malignant mesothelioma,
mesothelioma law, mesothelioma law firm california, mesothelioma
compensation, mesothelioma law firms, asbestos settlement, asbestos
claim, mesothelioma, asbestos lawsuit, asbestos lung cancer,
mesothelioma law suit, asbestos claims720, asbestos attorney,
mesothelioma lung cancer, mesothelioma causes, asbestos lawyer390,
mesothelioma cancer, asbestos lawsuits, asbestos lawyers, causes of
mesothelioma, asbestos cancer, mesothelioma law suits, what is
mesothelioma, law offices, mesothelioma symptoms
Terimakasih anda telah membaca artikel tentang YANGA SC WANA SHUGHULI NA NJOMBE MJI FC LEO UWANJA UHURU. Jika ingin menduplikasi artikel ini diharapkan anda untuk mencantumkan link https://viralsport.blogspot.com/2018/02/yanga-sc-wana-shughuli-na-njombe-mji-fc.html. Terimakasih atas perhatiannya.