TIMU ya Liverpool itakutana na Roma ya Italia katika Nusu Fainali ya Ligi ya Mabingwa Ulaya kuelekea kutwaa taji la kwanza la michuano hiyo baada ya miaka 11.
Kikosi cha Jurgen Klopp kitawakaribisha wababe wa Serie A Uwanja wa Anfield katika Nusu Fainali ya kwanza Aprili 24 au 25, kabla ya kusafiri kwa mchezo wa marudiano Uwanja wa Olimpico Mei 1 au 2.
Real Madrid itaanzia nyumbani dhidi ya Bayern Munich katika Nusu Fainali nyingine kali ya michuano hiyo kabla ya kusafiri kwa mchezo wa marudiano Ujerumani.
Liverpool imefika Nusu Fainali baada ya kuwatoa vinara wa Ligi Kuu ya England Manchester City kwa jumla ya mabao 5-1, ikishinda 3-0 Anfield na 2-1 Etihad.
Fainali ya michuano hiyo itafanyika Uwanja wa NSC Olimpiyskiy mjini Kiev, Ukraine Jumamosi ya Mei 26.
Liverpool itakutana na Roma ya Italia katika Nusu Fainali ya Ligi ya Mabingwa Ulaya PICHA ZAIDI GONGA HAPA
from BIN ZUBEIRY SPORTS - ONLINE https://ift.tt/2qsDgvZ
best mesothelioma law firms, mesothelioma attorneys, mesothelioma
lawyer, mesothelioma lawsuits, mesothelioma lawyers, mesothelioma
lawsuit, mesothelioma attorney, mesothelioma settlement, mesothelioma
lawsuit settlements, mesothelioma settlements, mesothelioma law firm,
lawyer mesothelioma, get a online mesothelioma law firm today,
mesothelioma claims, mesothelioma claim, malignant mesothelioma,
mesothelioma law, mesothelioma law firm california, mesothelioma
compensation, mesothelioma law firms, asbestos settlement, asbestos
claim, mesothelioma, asbestos lawsuit, asbestos lung cancer,
mesothelioma law suit, asbestos claims720, asbestos attorney,
mesothelioma lung cancer, mesothelioma causes, asbestos lawyer390,
mesothelioma cancer, asbestos lawsuits, asbestos lawyers, causes of
mesothelioma, asbestos cancer, mesothelioma law suits, what is
mesothelioma, law offices, mesothelioma symptoms