MSHAMBULIAJI Romelu Lukaku amekuwa mchezaji bora wa mwezi Machi wa Manchester United baada ya kupata asilimia 71 ya kura zilizopigwa na mashabiki kupitia akaunti ya Twitter ya klabu hiyo,@ManUtd.
Mbelgiji huyo, Lukaku amewashinda wachezaji wenzake, Nemanja Matic aliyepata asilimia 22 ya kura na Ashley Young aliyeambulia asilimia saba baada ya kuingia tatu bora.
Baada ya kuingia kwenye tatu bora za miezi miwili iliyotangulia Septemba na Februari bila mafanikio, hatimaye mwezi huu wa tatu ameondoka na tuzo.
"Ningependa kuwashukuru mashabiki kwa kunichagua. Wakati wote najaribu kuwalipa fadhila na nitajaribu kufanya hivyom kati ya sasa na mwisho wa msimu,"alisema na kunukuliwa na tovuti ya klabu, ManUtd.com.
Romelu Lukaku amekuwa mchezaji bora wa mwezi Machi wa Manchester United
from BIN ZUBEIRY SPORTS - ONLINE https://ift.tt/2Jq4agH
best mesothelioma law firms, mesothelioma attorneys, mesothelioma
lawyer, mesothelioma lawsuits, mesothelioma lawyers, mesothelioma
lawsuit, mesothelioma attorney, mesothelioma settlement, mesothelioma
lawsuit settlements, mesothelioma settlements, mesothelioma law firm,
lawyer mesothelioma, get a online mesothelioma law firm today,
mesothelioma claims, mesothelioma claim, malignant mesothelioma,
mesothelioma law, mesothelioma law firm california, mesothelioma
compensation, mesothelioma law firms, asbestos settlement, asbestos
claim, mesothelioma, asbestos lawsuit, asbestos lung cancer,
mesothelioma law suit, asbestos claims720, asbestos attorney,
mesothelioma lung cancer, mesothelioma causes, asbestos lawyer390,
mesothelioma cancer, asbestos lawsuits, asbestos lawyers, causes of
mesothelioma, asbestos cancer, mesothelioma law suits, what is
mesothelioma, law offices, mesothelioma symptoms
Terimakasih anda telah membaca artikel tentang LUKAKU AWA MCHEZAJI BORA WA MWEZI MACHI MAN UNITED. Jika ingin menduplikasi artikel ini diharapkan anda untuk mencantumkan link https://viralsport.blogspot.com/2018/04/lukaku-awa-mchezaji-bora-wa-mwezi-machi.html. Terimakasih atas perhatiannya.