Na Mwandishi Wetu, MLANDIZI
MABAO ya Khamis Mcha ‘Vialli’ na Fully Zulu Maganga yameipa Ruvu Shooting ushindi wa 2-0 dhidi ya Azam FC katika mchezo wa Ligi Kuu ya Vodacom Tanzania Bara jioni ya leo Uwanja wa Mabatini, Mlandizi mkoani Pwani.
Mcha alianza kuiadhibu timu yake ya zamani kwa bao la mpira wa adhabu kipindi cha kwanza, kabla ya mshambuliaji wa zamani wa Mgambo JKT ya Tanga, Maganga kufunga la pili kipindi cha pili.
Kipa Mghana wa Azam FC, Razack Abalora aliye katika msimu wake wa kwanza Chamazi tangu awasili kutoka kwao, leo alifungwa kwa urahisi Uwanja wa Mabatini mabao yote mawili dakika ya 29 na 80.
Matokeo hayo yanaiongezea Ruvu Shooting pointi tatu na kufikisha 29 baada ya kucheza mechi 24 na kupanda hadi nafasi ya nane, kutoka ya 10.
Azam FC inayobaki na pointi zake 45 baada ya kucheza mechi 24 pia, inaendelea kushika nafasi ya tatu nyuma ya mabingwa watetezi, Yanga SC wenye pointi 47 za mechi 22 na vinara Simba SC, wenye pointi 55 za mechi 23.
from BIN ZUBEIRY SPORTS - ONLINE https://ift.tt/2GWQrjQ
best mesothelioma law firms, mesothelioma attorneys, mesothelioma
lawyer, mesothelioma lawsuits, mesothelioma lawyers, mesothelioma
lawsuit, mesothelioma attorney, mesothelioma settlement, mesothelioma
lawsuit settlements, mesothelioma settlements, mesothelioma law firm,
lawyer mesothelioma, get a online mesothelioma law firm today,
mesothelioma claims, mesothelioma claim, malignant mesothelioma,
mesothelioma law, mesothelioma law firm california, mesothelioma
compensation, mesothelioma law firms, asbestos settlement, asbestos
claim, mesothelioma, asbestos lawsuit, asbestos lung cancer,
mesothelioma law suit, asbestos claims720, asbestos attorney,
mesothelioma lung cancer, mesothelioma causes, asbestos lawyer390,
mesothelioma cancer, asbestos lawsuits, asbestos lawyers, causes of
mesothelioma, asbestos cancer, mesothelioma law suits, what is
mesothelioma, law offices, mesothelioma symptoms