Na Mwandishi Wetu, DAR ES SALAAM
BODI ya Ligi ya Shirikisho la Soka Tanzania (TFF) imesema Yanga SC ikirejea kutoka Ethiopita itaunganisha safari hadi Mbeya kwa ajili ya mchezo wake wake wa Ligi Kuu ya Vodacom Tanzania Bara dhidi ya Mbeya City Aprili 22 Uwanja wa Sokoine.
Yanga ipo mjini Hawassa, Ethiopia kwa ajili ya mchezo wa marudiano wa mchujo wa kuwania tiketi ya kucheza hatua ya makundi ya Kombe la Shirikisho Afrika ambao utafanyika kesho jioni.
Uwezekano wa Yanga kuondoka Ethiopia ni Alhamisi na watafika usiku, maana yake safari ya Mbeya wanaweza kuianza Ijumaa, siku mbili kabla ya mechi yenyewe.
Dhahiri ratiba hii inawabana mabingwa hao watetezi na hata kama watatumia ndege wanaweza kupoteza siku mbili kwenye safari tu kutoka Hawassa hadi Mbeya.
Wakati Yanga ikibananishwa namna hiyo, Bodi hiyo imeisogeza mbele kwa siku moja mechi ya mahasimu wao, Simba SC dhidi ya Lipuli FC Uwanja wa Samora mjini Iringa kutoka Ijumaa hadi Jumamosi.
“Mechi namba 202 ya Ligi Kuu ya Vodacom kati ya Lipuli na Simba iliyopangwa kufanyika Ijumaa, Aprili 20, 2018 kwenye Uwanja wa Kumbukumbu ya Samora mjini Iringa imesogezwa mbele kwa siku moja. Sasa mechi hiyo itachezwa Jumamosi, Aprili 21, 2018 kwenye uwanja huo huo,” imesema taarifa ya Boniphace Wambura, Mkurugenzi wa Bodi.
Sababu iliyotajwa na Bodi hiyo chini ya Mwenyekiti, Clement Sanga ambaye pia ni Kaimu Mwenyekiti wa Yanga kusogeza mbele mechi ya Simba ni wamiliki wa Uwanja wa Samora kuutumia Aprili 20, 2018 kwa shughuli nyingine za kijamii.
from BIN ZUBEIRY SPORTS - ONLINE https://ift.tt/2H93Cdx
best mesothelioma law firms, mesothelioma attorneys, mesothelioma
lawyer, mesothelioma lawsuits, mesothelioma lawyers, mesothelioma
lawsuit, mesothelioma attorney, mesothelioma settlement, mesothelioma
lawsuit settlements, mesothelioma settlements, mesothelioma law firm,
lawyer mesothelioma, get a online mesothelioma law firm today,
mesothelioma claims, mesothelioma claim, malignant mesothelioma,
mesothelioma law, mesothelioma law firm california, mesothelioma
compensation, mesothelioma law firms, asbestos settlement, asbestos
claim, mesothelioma, asbestos lawsuit, asbestos lung cancer,
mesothelioma law suit, asbestos claims720, asbestos attorney,
mesothelioma lung cancer, mesothelioma causes, asbestos lawyer390,
mesothelioma cancer, asbestos lawsuits, asbestos lawyers, causes of
mesothelioma, asbestos cancer, mesothelioma law suits, what is
mesothelioma, law offices, mesothelioma symptoms