TIMU ya soka ya Taifa ya Wanawake ya Tanzania, Twiga Stars imetupwa nje ya mbio za kuwania tiketi ya Fainali za Kombe la Mataifa ya Afrika (AWC) Novemba mwaka huu nchini Ghana baada ya sare ya 1-1 na wenyeji Zambia leo.
Sare hiyo inafanya matokeo ya jumla yawe sare ya 4-4 baada ya timu hizo kufungana mabao 3-3 katika mchezo wa kwanza Dar es Salaam Jumatano wiki hii Uwanja wa Taifa mjini Dar es Salaam na sasa Shepolopolo wanasonga mbele kwa faida ya mabao ya ugenini.
Fainali za Kombe la Mataifa ya Afrika kwa Wanawake zinatarajiwa kufanyika baadaye mwaka huu jijini Accra, Ghana wakati zile za dunia zitafanyika mwakani Paris, Ufaransa.
from BIN ZUBEIRY SPORTS - ONLINE https://ift.tt/2IyKwxF
best mesothelioma law firms, mesothelioma attorneys, mesothelioma
lawyer, mesothelioma lawsuits, mesothelioma lawyers, mesothelioma
lawsuit, mesothelioma attorney, mesothelioma settlement, mesothelioma
lawsuit settlements, mesothelioma settlements, mesothelioma law firm,
lawyer mesothelioma, get a online mesothelioma law firm today,
mesothelioma claims, mesothelioma claim, malignant mesothelioma,
mesothelioma law, mesothelioma law firm california, mesothelioma
compensation, mesothelioma law firms, asbestos settlement, asbestos
claim, mesothelioma, asbestos lawsuit, asbestos lung cancer,
mesothelioma law suit, asbestos claims720, asbestos attorney,
mesothelioma lung cancer, mesothelioma causes, asbestos lawyer390,
mesothelioma cancer, asbestos lawsuits, asbestos lawyers, causes of
mesothelioma, asbestos cancer, mesothelioma law suits, what is
mesothelioma, law offices, mesothelioma symptoms