Na Mwandishi Wetu, IRINGA
TIMU ya Mtibwa Sugar imelazimishwa sare ya bila kufungana na wenyeji, Lipuli FC katika mchezo wa Ligi Kuu ya Tanzania Bara mchana wa leo Uwanja wa Samora mjini Iringa.
Hiyo ni sare ya kwanza kwa Mtibwa Sugar, inayofundishwa na kocha Zubery Katwila baada ya kushinda mechi mbili nyumbani na kufungwa moja ugenini katika tatu za awali.
Kwa Lipuli FC ya kocha Suleiman Matola, hiyo ni sare ya tatu mfululizo baada ya sare mbili za awali zote 1-1 na ugenini dhidi ya Coastal Union Uwanja wa Mkwakwani mjini Tanga na JKT Tanzania Uwanja wa Meja Isamuhyo huko Mbweni.
Mshambuliaji wa Lipuli FC, Paul Nonga akifumua shuti mbele ya beki wa Mtibwa Sugar, Dickson Daudi
Mchezo wa leo ulikuwa ni wa mashambulizi ya pande zote mbili na kila timu ilicheza vizuri, lakini tu safu za ulinzi zilikuwa imara zaidi.
Sasa Mtibwa Sugar inafikisha pointi saba katika mechi ya nne kuelekea mchezo wake ujao na Ndanda FC mjini Mtwara Jumatano, wakati Lipuli inafikisha pointi tatu kuelekea mechi yake ijayo na AllianceFC Jumatano hapo hapo Iringa.
from BIN ZUBEIRY SPORTS - ONLINE https://ift.tt/2QyKZVh
best mesothelioma law firms, mesothelioma attorneys, mesothelioma
lawyer, mesothelioma lawsuits, mesothelioma lawyers, mesothelioma
lawsuit, mesothelioma attorney, mesothelioma settlement, mesothelioma
lawsuit settlements, mesothelioma settlements, mesothelioma law firm,
lawyer mesothelioma, get a online mesothelioma law firm today,
mesothelioma claims, mesothelioma claim, malignant mesothelioma,
mesothelioma law, mesothelioma law firm california, mesothelioma
compensation, mesothelioma law firms, asbestos settlement, asbestos
claim, mesothelioma, asbestos lawsuit, asbestos lung cancer,
mesothelioma law suit, asbestos claims720, asbestos attorney,
mesothelioma lung cancer, mesothelioma causes, asbestos lawyer390,
mesothelioma cancer, asbestos lawsuits, asbestos lawyers, causes of
mesothelioma, asbestos cancer, mesothelioma law suits, what is
mesothelioma, law offices, mesothelioma symptoms