Na Mwandishi Wetu, DAR ES SALAAM
TIMU ya Azam FC imerejea kileleni mwa Ligi Kuu ya Tanzania Bara baada ya ushindi wa mabao 4-0 dhidi ya Mbao FC usiku wa leo Uwanja wa Azam Complex, Chamazi mjini Dar es Salaam.
Ushindi huo unaifanya Azam FC ifikishe pointi 39 baada ya kucheza mechi 15, ikiizidi kwa pointi moja Yanga SC iliyocheza mechi 14, wakati mabingwa watetezi, Simba SC wenye pointi 27 za mechi 12 ni ya tatu.
Katika mchezo wa leo, mabao ya Azam FC yamefungwa na beki na Nahodha, Aggrey Morris dakika ya 37, viungo Joseph Mahundi mawili dakika za 54 na 58 na Salum Abubakar ‘Sure Boy’ dakika ya 63.
Azam FC ingeweza kuondoka na ushindi mnono zaidi kama ingetumia nafasi zake nyingine kadhaa ilizotengeneza kwenye mchezo huo.
Mchezo mwingine wa Ligi Kuu leo, bao pekee la Nahodha Jacob Massawe dakika ya 38 limeipa ushindi wa 1-0 Stand United dhidi ya wenyeji, Singida United Uwanja wa Namfua, Singida.
Kwa ushindi huo katika mchezo wake wa 16 leo, Stand United inaingia kwenye orodha ya timu tatu zenye pointi 17 pamoja na KMC iliyocheza mechi 14 na Ruvu Shooting iliyocheza mechi 15.
from BIN ZUBEIRY SPORTS - ONLINE https://ift.tt/2EjbICs
best mesothelioma law firms, mesothelioma attorneys, mesothelioma
lawyer, mesothelioma lawsuits, mesothelioma lawyers, mesothelioma
lawsuit, mesothelioma attorney, mesothelioma settlement, mesothelioma
lawsuit settlements, mesothelioma settlements, mesothelioma law firm,
lawyer mesothelioma, get a online mesothelioma law firm today,
mesothelioma claims, mesothelioma claim, malignant mesothelioma,
mesothelioma law, mesothelioma law firm california, mesothelioma
compensation, mesothelioma law firms, asbestos settlement, asbestos
claim, mesothelioma, asbestos lawsuit, asbestos lung cancer,
mesothelioma law suit, asbestos claims720, asbestos attorney,
mesothelioma lung cancer, mesothelioma causes, asbestos lawyer390,
mesothelioma cancer, asbestos lawsuits, asbestos lawyers, causes of
mesothelioma, asbestos cancer, mesothelioma law suits, what is
mesothelioma, law offices, mesothelioma symptoms