Na Mwandishi Wetu, DAR ES SALAAM
DIRISHA Dogo la Usajili kwa Klabu za Ligi Kuu, Ligi Daraja la Kwanza na Ligi Daraja la Pili Tanzania litafungwa Saa 5:59 usiku ya Desemba 15, mwaka huu.
Afisa Habari na Mawasiliano wa TFF, Clifford Mario Ndimbo amesema kwamba klabu zote zinakumbushwa kutuma orodha ya wachezaji waliowaongeza katika dirisha dogo.
Amesema wakati wa dirisha dogo klabu zinazoruhusiwa kuongeza idadi ya wachezaji ni zile ambazo hazikusajili wachezaji 30 wakati wa kipindi cha usajili wa dirisha kubwa.
 |
| Mshambuliaji Mzambia Obrey Chirwa amesajiliwa Azam FC katika dirisha dogo |
Ndimbo amesema kwamba klabu zilizotoa wachezaji kwa mkopo hazipati nafasi ya kusajili wachezaji wa kuziba nafasi hizo, bali zile zimewapa uhamisho wa moja kwa moja.
from BIN ZUBEIRY SPORTS - ONLINE https://ift.tt/2C6r0bz
best mesothelioma law firms, mesothelioma attorneys, mesothelioma
lawyer, mesothelioma lawsuits, mesothelioma lawyers, mesothelioma
lawsuit, mesothelioma attorney, mesothelioma settlement, mesothelioma
lawsuit settlements, mesothelioma settlements, mesothelioma law firm,
lawyer mesothelioma, get a online mesothelioma law firm today,
mesothelioma claims, mesothelioma claim, malignant mesothelioma,
mesothelioma law, mesothelioma law firm california, mesothelioma
compensation, mesothelioma law firms, asbestos settlement, asbestos
claim, mesothelioma, asbestos lawsuit, asbestos lung cancer,
mesothelioma law suit, asbestos claims720, asbestos attorney,
mesothelioma lung cancer, mesothelioma causes, asbestos lawyer390,
mesothelioma cancer, asbestos lawsuits, asbestos lawyers, causes of
mesothelioma, asbestos cancer, mesothelioma law suits, what is
mesothelioma, law offices, mesothelioma symptoms