Na Mwandishi Wetu, CASABLANCA
KIUNGO mshambuliaji wa kimataifa wa Tanzania, Simon Happygod Msuva usiku wa jana amefunga bao la kwanza, timu yake Difaa Hassan El –Jadida ikiibuka na ushindi wa 2-0 dhidi ya Rapide Oued Zem katika mchezo wa Ligi Kuu ya Morocco, maarufu kama Botola Pro Uwanja wa Ben Ahmed El Abdi, El Jadida mjini Mazghan.
Msuva, mchezaji wa zamani wa Yanga aliyeibukia kwenye akademi ya Azam FC alifunga bao hilo dakika ya 40 baada ya kuwazidi mbinu walinzi wa Rapide Oued Zem.
Bao la pili la Difaa Hassan El –Jadida lilifungwa na mshambuiliaji mwingine tegemeo la timu hiyo, Bilal El Magri dakika ya 50.
Simon Msuva akipongezwa na wenzake jana baada ya kufunga katika ushindi wa 2-0 wa Difaa Hassan El –Jadida dhidi ya Rapide Oued Zem
Kwa matokeo hayo, Difaa Hassan El –Jadida inafikisha pointi 30 na kupanda hadi nafasi ya nane kwenye msimamo wa Botola Pro kutoka ya 12.
from BIN ZUBEIRY SPORTS - ONLINE http://bit.ly/2G5cQJq
best mesothelioma law firms, mesothelioma attorneys, mesothelioma
lawyer, mesothelioma lawsuits, mesothelioma lawyers, mesothelioma
lawsuit, mesothelioma attorney, mesothelioma settlement, mesothelioma
lawsuit settlements, mesothelioma settlements, mesothelioma law firm,
lawyer mesothelioma, get a online mesothelioma law firm today,
mesothelioma claims, mesothelioma claim, malignant mesothelioma,
mesothelioma law, mesothelioma law firm california, mesothelioma
compensation, mesothelioma law firms, asbestos settlement, asbestos
claim, mesothelioma, asbestos lawsuit, asbestos lung cancer,
mesothelioma law suit, asbestos claims720, asbestos attorney,
mesothelioma lung cancer, mesothelioma causes, asbestos lawyer390,
mesothelioma cancer, asbestos lawsuits, asbestos lawyers, causes of
mesothelioma, asbestos cancer, mesothelioma law suits, what is
mesothelioma, law offices, mesothelioma symptoms