Na Mwandishi Wetu, SINGIDA
TIMU ya Singida United imeshindwa kutumia vyema Uwanja wa nyumbani, Namfua mkoani Singida baada ya kulazimishwa sare ya 0-0 na KMC ya Kinondoni mjini Dar es Salaam katika mchezo wa Ligi Kuu ya Tanzania Bara jiioni ya leo.
Matokeo hayo yanayoiongezea pointi moja kila timu yanamaanisha, KMC inafikisha pointi 42 baada ya kucheza mechi 32 na kupanda kwa nafasi moja hadi ya sita, wakati Singida United inayofikisha pointi 40 katika mechi ya 33 inapanda hadi nafasi ya 10 kutoka ya 13.
Mshambuliaji Habib Hajji Kiyombo anayeripotiwa kutakiwa na klabu ya Mamelodi Sundowns ya Afrika Kusini alianza leo na akakosa bao la wazi Uwanja wa Namfua.
Na kilichowasaidia zaidi KMC walio chini ya kocha Mrundi, Ettienne Ndayiragijje leo ni mchezo wao wa kujihami zaidi na kushambulia kwa kushitukiza.
from BIN ZUBEIRY SPORTS - ONLINE http://bit.ly/2Ggl2FZ
best mesothelioma law firms, mesothelioma attorneys, mesothelioma
lawyer, mesothelioma lawsuits, mesothelioma lawyers, mesothelioma
lawsuit, mesothelioma attorney, mesothelioma settlement, mesothelioma
lawsuit settlements, mesothelioma settlements, mesothelioma law firm,
lawyer mesothelioma, get a online mesothelioma law firm today,
mesothelioma claims, mesothelioma claim, malignant mesothelioma,
mesothelioma law, mesothelioma law firm california, mesothelioma
compensation, mesothelioma law firms, asbestos settlement, asbestos
claim, mesothelioma, asbestos lawsuit, asbestos lung cancer,
mesothelioma law suit, asbestos claims720, asbestos attorney,
mesothelioma lung cancer, mesothelioma causes, asbestos lawyer390,
mesothelioma cancer, asbestos lawsuits, asbestos lawyers, causes of
mesothelioma, asbestos cancer, mesothelioma law suits, what is
mesothelioma, law offices, mesothelioma symptoms